Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARU yazawadia wanafunzi 130

CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kimewazawadia wanafuzi 130 wa masomo mbalimbali zawadi zenye thamani ya zaidi ya sh milioni 60 kutokana na ufaulu mzuri katika masomo yao. Zawadi hizo ni fedha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wahitimu 130 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), watunukiwa tuzo kwa kufanya vizuri kwenye masomo

 Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba alichozawadiwa Kampuni ya Hightech Systems (T) Limited katika hafla ya kuwakabidhi zawadi na tuzo wanafunzi hao bora  iliyofanyika katika chuo hicho leo ikiwa ni sehemu ya mahafali ya nane ya chuo hicho yatakayofikia kilele kesho kutwa Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.

 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 130 Chuo Kikuu Ardhi wapewa tuzo

CHUO Kikuu cha Ardhi kimewazawadia wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika fani mbalimbali, wamezawadiwa vyeti na zawadi kutoka kwa wadhamini ili kukuza elimu na kuongeza ushindani baina ya wanafunzi.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

From Humble Start, ARU Is Centre of Excellence


From Humble Start, ARU Is Centre of Excellence
AllAfrica.com
SINCE independence from Britain in 1961, founder president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere had taught Tanzanians that education is a veritable tool of development and a driver of personal, national, and global progress. Nyerere's philosophy centred ...

 

11 years ago

Daily News

ARU female students excel in architecture courses


ARU female students excel in architecture courses
Daily News
UNLIKE their male counterparts, female students have been excelling in architecture courses and their enrolments have also increased at Ardhi University (ARU). Acting Dean at ARU School of Architecture and Design, Dr Cyriaws Lwamayanga, said in Dar ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NBC yazawadia washindi wa ‘weka upewe’

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanya droo yake ya pili ya promosheni ya ‘weka upewe’ huku wakigawa zawadi kwa washindi wa kwanza wa droo hiyo. Droo hiyo iliyofanyika katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Airtel yazawadia washindi Sh130 mil

>Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, imezawadia wateja wake zaidi ya Sh130 milioni na tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, nchini Uingereza.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo yazawadia watumiaji wake Sh400 mil

 Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo, imekabidhi zawadi ya fedha Sh400 milioni katika kipindi cha mwezi mmoja cha Promosheni ya Cheza kwa Furaha Unaposhinda Kitita na Tigo pesa.

 

11 years ago

GPL

TIGO YAZAWADIA MILIONI 830/- KWA WATEJA 2,335

Mshindi wa promosheni ya Tigo 'Shinda Kitita na Tigo Pesa' Bi. Germina Shayo (kushoto) akipokea mfano wa hundi wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa Mary Rutta katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika mapema leo katika makao makuu ya Tigo, Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa Tigo ishazawadia fedha taslimu shilingi milioni 830 kwa wateja 2,335 nchi nzima.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

ACACIA yazawadia wafanyakazi wake 510 wa mgodi wa Bulyanhulu

Wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu ulioko wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, wakimshangilia Meneja Mkuu wa mgodi huo, Michell Ash, baada ya kumpatia zawadi ya Meneja bora wa mwaka ambaye wao wenyewe wafanyakazi walimteua. Katika hatua  nyinghine, kampuni ya ACACIA imewazawadia saruji na mabati wafanyakazi wake 510 wanaofanyakazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu 500 kwa kuhudumu kwa muda mrefu na 10 kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya kampuni hiyo ya tabia sita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani