ACACIA yazawadia wafanyakazi wake 510 wa mgodi wa Bulyanhulu
Wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu ulioko wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, wakimshangilia Meneja Mkuu wa mgodi huo, Michell Ash, baada ya kumpatia zawadi ya Meneja bora wa mwaka ambaye wao wenyewe wafanyakazi walimteua. Katika hatua nyinghine, kampuni ya ACACIA imewazawadia saruji na mabati wafanyakazi wake 510 wanaofanyakazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu 500 kwa kuhudumu kwa muda mrefu na 10 kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya kampuni hiyo ya tabia sita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni
SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Maige: Wananchi walifukiwa wakiwa hai mgodi wa Bulyanhulu
9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU WAIPIGA JEKI ZAHANATI YA MWINGIRO GEITA
Maafisa wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii katikamgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, William Chungu (kulia) na Zuwena Senkondo (kushoto) wakikabidhi vifaa vinavyotumika wakati wakujifungulia kwa zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita .
Zuwena Senkondo wkikabidhi vifaa vya kujifungulia kwa mmoja wa wauguzi katika zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita
Kiongozi wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Sara Ezra Teri akikabidhi Video...
10 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Nishati na Madini atembelea mgodi wa dhahabu bulyanhulu
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mgodi Acacia waamriwa kuwalipa wanakijiji fidia
SERIKALI kupitia Baraza la Hifadhi ya Mazingira (NEMC) imethibitisha kuwa maji yaliyotiririka kutoka moja ya mabwawa ya maji katika mgodi wa dhahabu wa Acacia Bulyanhulu yalikuwa na sumu.
5 years ago
MichuziMGODI WA BARRICK BULYANHULU WAWAKUMBUKA WATU WENYE ULEMAVU NA WAZEE MSALALA…DC MACHA AWAPONGEZA
Hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo imefanyika leo Jumatano Juni 24,2020 katika kijiji cha Bunango kata ya Bugarama ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa...
9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU, BGML, WAKABIDHI MIRADI YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI MOJA WILAYA YA MSALALA.
9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Tigo yazawadia watumiaji wake Sh400 mil