MGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU, BGML, WAKABIDHI MIRADI YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI MOJA WILAYA YA MSALALA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2H8884V-daI/VeW9Bhrp-8I/AAAAAAAAYfI/TRnsIkboma4/s72-c/b9.jpg)
Moja kati ya majengo ya shule ya Msingi Busindi, yaliyomaliziwa kujengwa na mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu ulioko wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga. Mgodi huo unaomilikiwa na kampuni ya Acacia, umekabidhi miradi minne ya elimu na maji yenye thamani ya shilingi bilioni 1 ikiwa ni sera ya kampuni kujenga mahusiano mema na jamii inayozunguka migodi.
Kaimu Mku wa Wilaya ya Msalala, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, Meneja Mkuu Mgodi wa Dhahabu Bulyanhulu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s72-c/b3.jpg)
MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT
![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s640/b3.jpg)
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...
9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU WAIPIGA JEKI ZAHANATI YA MWINGIRO GEITA
Maafisa wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii katikamgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, William Chungu (kulia) na Zuwena Senkondo (kushoto) wakikabidhi vifaa vinavyotumika wakati wakujifungulia kwa zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita .
![](http://2.bp.blogspot.com/-DlBUBN5Jv4M/Von0GCn3C1I/AAAAAAAAZAM/zUW-cZ-vPo0/s640/Zuwena%2Bakimkabidhi%2Bneema%2Bvifaa%2Bkatika%2Bzahanati%2Bhuku%2BWiliam%2BChungu%2Bmwenye%2Bmiwani%2Bakishuhudia%2Bpamoja%2Bna%2Bwafanyakazi%2Bwa%2Bzahanati.jpg)
Zuwena Senkondo wkikabidhi vifaa vya kujifungulia kwa mmoja wa wauguzi katika zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita
Kiongozi wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Sara Ezra Teri akikabidhi Video...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s72-c/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini atembelea mgodi wa dhahabu bulyanhulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s1600/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zbK1j7lnaow/VSomAmUmhFI/AAAAAAAHQf4/3DY4Z7yaHZ0/s1600/Kitwanga_Brad.jpg)
10 years ago
Bongo502 Mar
Mtangazaji wa Times FM aporwa iPhone 6 ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 3.8
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
Bongo517 Sep
Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
10 years ago
Bongo506 Dec
Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)