MGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU WAIPIGA JEKI ZAHANATI YA MWINGIRO GEITA
Maafisa wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii katikamgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, William Chungu (kulia) na Zuwena Senkondo (kushoto) wakikabidhi vifaa vinavyotumika wakati wakujifungulia kwa zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita .
Zuwena Senkondo wkikabidhi vifaa vya kujifungulia kwa mmoja wa wauguzi katika zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita
Kiongozi wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Sara Ezra Teri akikabidhi Video...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U7q-ejU32xo/VkmJX034soI/AAAAAAAIGIQ/-53TPPp4DNg/s72-c/01.jpg)
mgodi wa STAMIGOLD waipiga jeki Shule ya msingi Mavota, Mkoani Geita
![](http://3.bp.blogspot.com/-U7q-ejU32xo/VkmJX034soI/AAAAAAAIGIQ/-53TPPp4DNg/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fxqueGF2qdM/VkmHCriGHMI/AAAAAAAIGHw/_ImsD-Wl2gw/s640/04.jpg)
Moja kati ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s72-c/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini atembelea mgodi wa dhahabu bulyanhulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s1600/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zbK1j7lnaow/VSomAmUmhFI/AAAAAAAHQf4/3DY4Z7yaHZ0/s1600/Kitwanga_Brad.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s72-c/b3.jpg)
MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT
![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s640/b3.jpg)
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2H8884V-daI/VeW9Bhrp-8I/AAAAAAAAYfI/TRnsIkboma4/s72-c/b9.jpg)
MGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU, BGML, WAKABIDHI MIRADI YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI MOJA WILAYA YA MSALALA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2H8884V-daI/VeW9Bhrp-8I/AAAAAAAAYfI/TRnsIkboma4/s640/b9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jlvE4utUDI/VeW9EUFIc6I/AAAAAAAAYfY/7Qy7TYjidNo/s640/b1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s72-c/New%2BPicture.png)
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s1600/New%2BPicture.png)
TANGAZO.
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI.
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2zIhyUbUbbY/ViZCKNYpKTI/AAAAAAAIBO4/QmB04yOWn7I/s72-c/IMG_20151005_153316.jpg)
MGODI WA DHAHABU WA GEITA (GGM), UMEZALISHA AJIRA ZAIDI YA 200
![](http://4.bp.blogspot.com/-2zIhyUbUbbY/ViZCKNYpKTI/AAAAAAAIBO4/QmB04yOWn7I/s640/IMG_20151005_153316.jpg)
Akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Geita, Fatma Mwassa alipotembelea mgodini hapo juzi, Makamu wa Rais wa Anglo Gold Ashanti/GGM, Simon Shayo alisema mpango umelenga kubadili hali za maisha ya wakazi kuwa tofauti na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMpDg59Mvl4/U4lvDGP2fbI/AAAAAAAFmsE/YflKfPs6AtE/s1600/unnamed+(92).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni
SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Maige: Wananchi walifukiwa wakiwa hai mgodi wa Bulyanhulu