Maige: Wananchi walifukiwa wakiwa hai mgodi wa Bulyanhulu
Mbunge wa Msalala (CCM), Ezekiel Maige, amesema kuna watu walifukiwa wakiwa hai wakati wa uanzishaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu mkoani Shinyanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni
SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
10 years ago
Dewji Blog01 May
ACACIA yazawadia wafanyakazi wake 510 wa mgodi wa Bulyanhulu

9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU WAIPIGA JEKI ZAHANATI YA MWINGIRO GEITA
Maafisa wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii katikamgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, William Chungu (kulia) na Zuwena Senkondo (kushoto) wakikabidhi vifaa vinavyotumika wakati wakujifungulia kwa zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita .

Zuwena Senkondo wkikabidhi vifaa vya kujifungulia kwa mmoja wa wauguzi katika zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita
Kiongozi wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Sara Ezra Teri akikabidhi Video...
10 years ago
Michuzi
Naibu Waziri wa Nishati na Madini atembelea mgodi wa dhahabu bulyanhulu


5 years ago
MichuziMGODI WA BARRICK BULYANHULU WAWAKUMBUKA WATU WENYE ULEMAVU NA WAZEE MSALALA…DC MACHA AWAPONGEZA
Hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo imefanyika leo Jumatano Juni 24,2020 katika kijiji cha Bunango kata ya Bugarama ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi
MGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU, BGML, WAKABIDHI MIRADI YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI MOJA WILAYA YA MSALALA.


10 years ago
Michuzi
MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT

Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mh. Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (kushoto), akisalimiana na Meneja Uendelezaji wa kampuni ya Acacia, Asa Mwaipopo, wakati alipofika kwenye kijiji cha Nyakunguru, kilicho jirani na mgodi wa North Mara, Mara ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara Jumatatu Mei 4, 2015, ili kufahamu jitihada za mgodi kuendeleza miradi ya kijamii na changamoto ambazo Jamii na Mgodi zinapata kutokana na shughuli za uchimbaji Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Glorious...