mgodi wa STAMIGOLD waipiga jeki Shule ya msingi Mavota, Mkoani Geita
![](http://3.bp.blogspot.com/-U7q-ejU32xo/VkmJX034soI/AAAAAAAIGIQ/-53TPPp4DNg/s72-c/01.jpg)
Meneja Mkuu wa mgodi wa STAMIGOLD Mhandisi Dennis Subugwao (kushoto) akikabidhi moja ya vifaa vya kujifunzia wanafunzi kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, Ndugu Nassib Mmbaga muda mfupi baada ya kuzindua jengo la choo cha wanafunzi Shule ya msingi Mavota, Mkoani Geita.
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mavota akizungumza mara baada ya kukabidhiwa jengo la choo cha wanafunzi kilichojengwa kwa ushirikiano kati ya mgodi wa STAMIGOLD na wananchi wa kijiji cha Mavota.
Moja kati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU WAIPIGA JEKI ZAHANATI YA MWINGIRO GEITA
Maafisa wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii katikamgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, William Chungu (kulia) na Zuwena Senkondo (kushoto) wakikabidhi vifaa vinavyotumika wakati wakujifungulia kwa zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita .
![](http://2.bp.blogspot.com/-DlBUBN5Jv4M/Von0GCn3C1I/AAAAAAAAZAM/zUW-cZ-vPo0/s640/Zuwena%2Bakimkabidhi%2Bneema%2Bvifaa%2Bkatika%2Bzahanati%2Bhuku%2BWiliam%2BChungu%2Bmwenye%2Bmiwani%2Bakishuhudia%2Bpamoja%2Bna%2Bwafanyakazi%2Bwa%2Bzahanati.jpg)
Zuwena Senkondo wkikabidhi vifaa vya kujifungulia kwa mmoja wa wauguzi katika zahanati ya Mwingiro Wilayani Nyang’wale Mkoani Geita
Kiongozi wa kitengo cha Mahusiano ya Jamii Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Sara Ezra Teri akikabidhi Video...
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
NBC yazipiga jeki shule sita za msingi wilayani Kilombero
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9w_VFdJUglQ/VHrFb2Kyb9I/AAAAAAAG0Tc/He2ThOly_Hw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
MichuziSHULE YA MSINGI MBUYUNI JIJINI DAR ES SALAAM YAPIGWA JEKI
9 years ago
StarTV12 Nov
Shule mbili za msingi binafsi zafungwa Geita
Halmashauri ya Mji wa Geita imezifungia shule mbili za msingi za binafsi kwa kosa la kuendesha shule hizo kinyume na taratibu za usajili.
Shule zingine zimepewa barua za kuzuiwa kuendesha shule za awali ambazo baadhi yake hazina mazingira salama kwa wanafunzi.
Baadhi ya Shule za Msingi zimekuwa pia zikitumia ujanja wa kupeleka wanafunzi wa darasa la nne kufanya mitihani katika shule za binafsi zilizosajiliwa na baadae kuendelea na masomo katika shule zao.
Shule ya msingi Samandito na Maguzu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMpDg59Mvl4/U4lvDGP2fbI/AAAAAAAFmsE/YflKfPs6AtE/s1600/unnamed+(92).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s640/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.