Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arusha kuandamana leo

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo, (CHADEMA), mkoani hapa, Amani Golugwa, amesema kuwa watafanya maandamano ya amani leo wakiwa wamefunga vitambaa vyeupe mkononi. Aidha, amelitaka Jeshi la Polisi kufahamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.

Washiriki wa maonesho, wananchi mbalimbali wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyozinduliwa katika Kiwanja cha Mpira wa Amri Abeid jijini Arusha leo. Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mrongo aliyazindua maonesho hayo huku akiwataka madereva nchini wawe makini kwa kufuatia sheria za barabarani ili kuepuka ajali. Kauli mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni “Maamuzi yako Barabarani Hatma Yetu-Fikiri Kwanza”. Mgeni rasmi Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanayanga kuandamana

>Klabu ya Yanga imeomba kibali cha kufanya maandamano hadi ikulu kuushinikiza uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam kutoa majibu ya maombi yao heka 11 kwa ajili ya upanuzi wa Uwanja wa Kaunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamada kuandamana

WAFANYABIASHARA Ndogondogo Dar es Salaam wanatarajia kufanya maandamano ya amani mwezi ujao kupinga hatua ya serikali kuwafukuza kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara. Mwenyekiti wa Taasisi ya Jumuiya za Wafanyabiashara...

 

9 years ago

Michuzi

WACHIMBAJI WADOGO KUANDAMANA

Mmoja kati ya wachimbaji wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Charles Mlay akizungumza juzi kwenye mkutano wa wachimbaji wadogo Marema kuhusiana na maandamano ya amani kupinga migodi yao 19 kusimamishwa kufanya kazi.
WACHIMBAJI wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanatarajia kuandamana hadi kwa mkuu wa mkoa huo, wakipinga kusimamishwa kazi migodi yao 19 inayopakana na TanzaniteOne.
Wachimbaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA kuandamana Ikulu

BARAZA la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA), limetangaza kufanya maandamano makubwa kwenda Ikulu siku yoyote kuanzia leo kwa lengo la kupinga ufisadi wa kutafuna fedha za wananchi unaofanywa na Bunge la...

 

11 years ago

Mwananchi

Tahliso wasisitiza kuandamana

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema watafanya maandamano kwa nguvu, endapo hawatalipwa madai yao ya fedha za mafunzo kwa vitendo hadi kufikia Ijumaa wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Sarumagaoni wajiandaa kuandamana

Mgogoro wa wakazi wa Sarumagaoni Halmashauri ya Jiji la Tanga, wanaodai kutokana na kuhamishwa katika eneo hilo umeingia katika sura mpya baada wakazi hao kutishia kuandamana hadi ofisi za mkuu wa mkoa.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wanaoipinga CWT kuandamana

KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), ina mpango wa kuandamana na kutoa tamko zito, kuhusiana na mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT.

 

11 years ago

Habarileo

Chadema kurusha helikopta 10, kuandamana

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), John Heche, amesema chama hicho kinatarajia kurusha angani chopa 10 na kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza Serikali kufanya marekebisho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura kabla ya zoezi la kura ya maoni ya Katiba mpya kuanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani