Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAWACHA kuandamana Ikulu

BARAZA la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA), limetangaza kufanya maandamano makubwa kwenda Ikulu siku yoyote kuanzia leo kwa lengo la kupinga ufisadi wa kutafuna fedha za wananchi unaofanywa na Bunge la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Waendesha bodaboda Ilala kuandamana hadi Ikulu

SAM_3651

Afisa Habari wa Bodaboda Wilaya ya Ilala, Abdallah Bakari ‘Dullah’ akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar.

Na Andrew Chale

Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala wamepanga kuandamana hadi Ikulu kuonana n Rais kwa ajili ya kutoa malalamiko yao dhidi ya Mkurugenzi wa Jiji, Meya na Mkuu wa Mkoa kwa kile wanachodai viogozi hao kushindwa kudhibiti vitendo vya manyanyaso wanavyofanyiwa na askari mgambo wa jiji ambao wamekuwa wakiwakamata pamoja na kupora Pikipiki...

 

10 years ago

Dewji Blog

Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao

1 (1)

Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari  Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner. 

  

Ofisa Habari  Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...

 

10 years ago

GPL

ALBINO KUANDAMANA KWENDA IKULU KUPINGA VITENDO VYA MAUAJI DHIDI YAO‏

 Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari  Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.  … ...

 

11 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA: BAWACHA WALIPOANDAMANA KUELEKEA IKULU, HALIMA MDEE AKAMATWA NA POLISI

Mwenyekiti wa BAWACHA ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa katika maandamano akiwaongoza wanawake wenzake kuelekea Ikulu kumpelekea ujumbe Rais Jakaya Kikwete kwamba hasikubali kuweka saini Rasimu mpya iliyopitishwa juzi mjini Dodoma, maandamano hayo kabla hayajafika mbali walitawanywa na jeshi la polisi lililotumia maji ya kuwasha pamoja na kupigwa kwa waandamanaji na kumshika mwenyekiti huyo Halima Mdee pamoja na wafuasi wake na kupelekwa polisi Osterbay...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamada kuandamana

WAFANYABIASHARA Ndogondogo Dar es Salaam wanatarajia kufanya maandamano ya amani mwezi ujao kupinga hatua ya serikali kuwafukuza kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara. Mwenyekiti wa Taasisi ya Jumuiya za Wafanyabiashara...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanayanga kuandamana

>Klabu ya Yanga imeomba kibali cha kufanya maandamano hadi ikulu kuushinikiza uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam kutoa majibu ya maombi yao heka 11 kwa ajili ya upanuzi wa Uwanja wa Kaunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Arusha kuandamana leo

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo, (CHADEMA), mkoani hapa, Amani Golugwa, amesema kuwa watafanya maandamano ya amani leo wakiwa wamefunga vitambaa vyeupe mkononi. Aidha, amelitaka Jeshi la Polisi kufahamu...

 

11 years ago

Mwananchi

Sarumagaoni wajiandaa kuandamana

Mgogoro wa wakazi wa Sarumagaoni Halmashauri ya Jiji la Tanga, wanaodai kutokana na kuhamishwa katika eneo hilo umeingia katika sura mpya baada wakazi hao kutishia kuandamana hadi ofisi za mkuu wa mkoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani