Chadema kurusha helikopta 10, kuandamana
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), John Heche, amesema chama hicho kinatarajia kurusha angani chopa 10 na kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza Serikali kufanya marekebisho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura kabla ya zoezi la kura ya maoni ya Katiba mpya kuanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Sep
Chadema wang’ang’ana kuandamana
LICHA ya kutakiwa kufuata taratibu kabla ya kutimiza azma yao ya kuandamana nchi nzima, viongozi wa Chadema wa mikoa mbalimbali wamesisitiza kuendelea kuunga mkono dhamira ya Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe ya kuandamana na kugoma bila kikomo ili kulipinga Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Chadema vijijini kwa helikopta
KATIKA jitihada za kuhakikisha kuwa Chadema kupitia vyama vinayounda Ukawa inashinda majimbo yote mkoani Rukwa kwa nafasi ya ubunge, wamejipanga kutumia usafiri wa helikopta kwa siku nne mfululizo ili kuwafikia wapigakura walioko vijijini.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
A+E Networks® kurusha dokumentari ya OJ Simpson
Mkuu wa vipindi channel ya A & E Networks, Racheal Job akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice nchini Mauritius. Katikati ni Mkurugenzi wa Kanda channel ya A & E Networks, Anthea Petersen na kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins.
Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins...
9 years ago
Vijimambo05 Sep
A+E NETWORKS(R) KURUSHA DOKUMENTARI YA OJ SIMPSON
![A&E_0005](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/AE_0005.jpg)
![A&E_0038](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/AE_0038.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 May
TBC kurusha ‘live’ Kombe la Dunia
SHIRIKA la Utangazaji la Taifa (TBC), linatarajia kurusha moja kwa moja ‘live’ mashindano ya Kombe la Dunia kwa mechi zote 64 zitakazochezwa nchini Brazil. Michuano hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/AE_0005.jpg)
A+E NETWORKS(R) KURUSHA DOKUMENTARI YA OJ SIMPSON
9 years ago
Mwananchi21 Dec
TBC kikaangoni kwa kurusha harusi ‘live’