Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema kurusha helikopta 10, kuandamana

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), John Heche, amesema chama hicho kinatarajia kurusha angani chopa 10 na kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza Serikali kufanya marekebisho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura kabla ya zoezi la kura ya maoni ya Katiba mpya kuanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema wang’ang’ana kuandamana

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman MboweLICHA ya kutakiwa kufuata taratibu kabla ya kutimiza azma yao ya kuandamana nchi nzima, viongozi wa Chadema wa mikoa mbalimbali wamesisitiza kuendelea kuunga mkono dhamira ya Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe ya kuandamana na kugoma bila kikomo ili kulipinga Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema vijijini kwa helikopta

KATIKA jitihada za kuhakikisha kuwa Chadema kupitia vyama vinayounda Ukawa inashinda majimbo yote mkoani Rukwa kwa nafasi ya ubunge, wamejipanga kutumia usafiri wa helikopta kwa siku nne mfululizo ili kuwafikia wapigakura walioko vijijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

A+E Networks® kurusha dokumentari ya OJ Simpson

A&E_0005

Mkuu wa vipindi channel ya A & E Networks, Racheal Job akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice nchini Mauritius. Katikati ni Mkurugenzi wa Kanda channel ya A & E Networks, Anthea Petersen na kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins.

A&E_0038

Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins...

 

9 years ago

Vijimambo

A+E NETWORKS(R) KURUSHA DOKUMENTARI YA OJ SIMPSON

A&E_0005Mkuu wa vipindi channel ya A & E Networks, Racheal Job akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice nchini Mauritius. Katikati ni Mkurugenzi wa Kanda channel ya A & E Networks, Anthea Petersen na kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins.A&E_0038Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBC kurusha ‘live’ Kombe la Dunia

SHIRIKA la Utangazaji la Taifa (TBC), linatarajia kurusha moja kwa moja ‘live’ mashindano ya Kombe la Dunia kwa mechi zote 64 zitakazochezwa nchini Brazil. Michuano hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi...

 

9 years ago

GPL

A+E NETWORKS(R) KURUSHA DOKUMENTARI YA OJ SIMPSON‏

Mkuu wa vipindi channel ya A & E Networks, Racheal Job akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice nchini Mauritius. Katikati ni Mkurugenzi wa Kanda channel ya A & E Networks, Anthea Petersen na kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins. Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

TBC kikaangoni kwa kurusha harusi ‘live’

Serikali imeliagiza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo mbalimbali hasa katika mitandao ya jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani