Chadema vijijini kwa helikopta
KATIKA jitihada za kuhakikisha kuwa Chadema kupitia vyama vinayounda Ukawa inashinda majimbo yote mkoani Rukwa kwa nafasi ya ubunge, wamejipanga kutumia usafiri wa helikopta kwa siku nne mfululizo ili kuwafikia wapigakura walioko vijijini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jan
Chadema kurusha helikopta 10, kuandamana
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), John Heche, amesema chama hicho kinatarajia kurusha angani chopa 10 na kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza Serikali kufanya marekebisho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura kabla ya zoezi la kura ya maoni ya Katiba mpya kuanza.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
CHADEMA yaahidi kushinda Mbeya Vijijini
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Vijijini, kimeahidi kutwaa ushindi mchana kweupe katika marudio ya uchaguzi wa udiwani kata ya Santilia. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Katibu...
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani
11 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya
POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.
9 years ago
Bongo516 Oct
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya helikopta, abiria wote wamepoteza maisha
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mke wa Marehemu Bi Sarah Filikunjombe wakati wa kuaga mwili wa marehemu...
10 years ago
Bongo503 Oct
Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10