Arusha wakumbusha Rais kufuta kodi zisizo na tija
WAKAZI wa Arusha wamemtaka Rais John Magufuli kufuta kodi zote zenye kuwaumiza wafanyabiashara wadogo wadogo kama vile mama lishe na machinga kwani hazina tija kwao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Madiwani Ilala waache ziara zisizo na tija
10 years ago
Mwananchi04 Dec
TRA yazuiwa kufuta hati za malipo ya kodi ya IPTL
11 years ago
Mwananchi26 May
Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi
11 years ago
MichuziMajadiliano ya masuala ya kodi Afrika yafanyika Arusha
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wakulima wadogo wakumbusha Azimio la Malabo
JUKWAA la wakulima wadogo kutoka nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF) wamezitaka serikali za nchi zao kuhakikisha wanaheshimu azimio la Malabo kuhusu Kilimo na upatikanaji wa uhakika wa chakula.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wanajeshi mabomu ya Gongo la mboto wakumbusha fidia
WANAJESHI 82 wa Kambi ya 511 ya Kikosi cha Jeshi waliopoteza mali zao binafsi katika tukio la mlipuko wa mabomu Gongo la Mboto, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ulinzi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s72-c/Gambo.jpeg)
RAIS MAGUFULI AWATUMBUA RC GAMBO, MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NA MKURUGENZI WA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s400/Gambo.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo.
Kwanza,Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na amemteua Bw. Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Kimanta alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli itajazwa baadaye.
Pili,Mhe. Rais...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu