Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arusha wakumbusha Rais kufuta kodi zisizo na tija

WAKAZI wa Arusha wamemtaka Rais John Magufuli kufuta kodi zote zenye kuwaumiza wafanyabiashara wadogo wadogo kama vile mama lishe na machinga kwani hazina tija kwao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Madiwani Ilala waache ziara zisizo na tija

Moja ya vituko tulivyoshuhudia tangu mwaka huu uanze ni ziara ya hivi karibuni mkoani Mtwara iliyofanywa na madiwani wa Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam kwa kile kinachoitwa ‘ziara ya mafunzo’.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA yazuiwa kufuta hati za malipo ya kodi ya IPTL

 Bodi ya Rufani za Kodi (TRAB), imetoa amri ya zuio la muda kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu kusudio lake la kufuta hati ya malipo ya kodi iliyotokana na uuzwaji wa hisa za Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.

 

11 years ago

Michuzi

Majadiliano ya masuala ya kodi Afrika yafanyika Arusha

 Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa  mkutano wa siku 3 wa majadiliano ya masuala ya kodi Afrika uliofanyika jijini Arusha jana katika hotel ya naura spring. Waziri wa fedha Saada mkuya akijadiliana jambo na rais wa kituo cha kimataifa cha ukusanyaji kodi na uwekezaji Daniel Witt wakati wa mkutano wa siku 3 wa majadiliano ya masuala ya kodi Afrika uliofanyika jijini Arusha jana katika hotel ya naura spring. Waziri wa Fedha,Mh. Saada Mkuya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekataa kufutilia mbali uwezekano kwamba wadhfa wa waziri mkuu huenda ukabuniwa katika kura ya maoni ijayo kama njia ya kumfanya kuwa na madaraka baada ya muda wake wa kikatiba wa mihula miwili kama rais kukamilika.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wadogo wakumbusha Azimio la Malabo

JUKWAA la wakulima wadogo kutoka nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF) wamezitaka serikali za nchi zao kuhakikisha wanaheshimu azimio la Malabo kuhusu Kilimo na upatikanaji wa uhakika wa chakula.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanajeshi mabomu ya Gongo la mboto wakumbusha fidia

WANAJESHI 82 wa Kambi ya 511 ya Kikosi cha Jeshi waliopoteza mali zao binafsi katika tukio la mlipuko wa mabomu Gongo la Mboto, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ulinzi...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AWATUMBUA RC GAMBO, MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NA MKURUGENZI WA ARUSHA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo.


Kwanza,Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na amemteua Bw. Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.


Kabla ya uteuzi huo Bw. Kimanta alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli itajazwa baadaye.


Pili,Mhe. Rais...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu

Rais Jakaya Kikwete ametia saini hati ya dharura (Certificate of Urgency) ili Muswada wa Fedha wa Mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho ya kuondoa tozo ya kodi kwa kadi za simu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani