Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asiyekubali kushindwa siyo mshindana

Ni kawaida kabisa kwa wanamichezo kupeana hongera wenzake wanapompiku. Utawaona wanariadha wakikumbatiana baada ya michuano; aliyeshindwa huitosa aibu mbali na kumpa heko mpinzani. Mabondia hali kadhalika. Huku damu zikimchuruzika, macho, midomo na taya vimevimbiana, lakini bado aliyenyukwa atampongeza adui yake. Hata kama awali walitukanana na kurushiana maneno ya matope. Yatakwisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK ahisi kushindwa

RAIS Jakaya Kikwete ameonyesha wasiwasi kuwa kuna uwezekano wa kushindwa kukamilisha miradi ambayo aliiasisi wakati wa kipindi chake cha kuomba kura wakati anagombea urais. Kikwete, alisema kuwa haiwezekani kukamilika kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa

lowassaNA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...

 

11 years ago

Habarileo

Waeleza sababu za kushindwa KKK

KUTOJUA misingi ya Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK), kumeelezwa ni moja ya sababu kubwa inayowafanya wanafunzi wengi kushindwa masomo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali anayepingana na kushindwa maishani

Ni mwanamama mwenye vipaji lukuki na ambaye kwa kauli yake anabainisha kuwa wanawake popote walipo wakikubali kushindwa ni lazima watashindwa tena vibaya sana, lakini wakiamua kupambana hakuna kushindwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hajazoea kushindwa

Mourinho amesema amezoea sana kushinda na ametatizika kiasi kuzoea hali baada ya Chelsea kuanza vibaya kampeini ya ligi Uingereza.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ukawa umekuwa umoja wa kushindwa!

SIKU kuelekea Oktoba 25 zinahesabika.

Hamisi Kigwangalla

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa

Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchunguzi Kenya baada ya kushindwa

Kenya imeanzisha uchunguzi dhidi ya safu ya ukufunzi kufuatia kushindwa na Lesotho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani