Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ahisi kushindwa

RAIS Jakaya Kikwete ameonyesha wasiwasi kuwa kuna uwezekano wa kushindwa kukamilisha miradi ambayo aliiasisi wakati wa kipindi chake cha kuomba kura wakati anagombea urais. Kikwete, alisema kuwa haiwezekani kukamilika kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kipigo cha Leicester, Mourinho ahisi kusalitiwa

1408806899769_wps_5_Chelsea_s_manager_Jose_Mo

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani) amesema anahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji wake baada ya kupata kipigo cha goli 2 kwa 1 kutoka kwa Leicester City.

Mourinho alisema ilikuwa ni sahihi kwa Leicester kuwafunga kutokana na kuwatawala kwa kipindi kikubwa cha mchezo huo huku timu yake ikionekana kucheza vizuri kwa dakika za 25 za mwanzoni na kuwafanya kuwa katika wakati mgumu kupata matokeo mazuri.

Aliongeza kuwa aamahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Benitez ahisi vyombo vya habari kumfanyia kampeni ili afukuzwe kazi

392319-rafael-benitez-pc-serious-7

Rafa Benitez

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez amesema anahisi kuna kampeni zinafanywa na vyombo vya habari kuhusu yeye, klabu na rais wa klabu, Florentino Perez kuhusu tuhuma mbalimbali zinazosemwa zinazoweza pelekea afukuzwe kazi.

Akizungumza na vyombo vya habari, Benitez alisema kuwa kuna habari zimekuwa zikitolewa na vyombo vya habari kuhusu uendeshaji wake wa klabu hiyo jambo ambalo sio sahihi.

“Kuna kampeni kati ya mimi, kuhusu klabu na Perez na kila...

 

11 years ago

Habarileo

Waeleza sababu za kushindwa KKK

KUTOJUA misingi ya Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK), kumeelezwa ni moja ya sababu kubwa inayowafanya wanafunzi wengi kushindwa masomo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchunguzi Kenya baada ya kushindwa

Kenya imeanzisha uchunguzi dhidi ya safu ya ukufunzi kufuatia kushindwa na Lesotho.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ukawa umekuwa umoja wa kushindwa!

SIKU kuelekea Oktoba 25 zinahesabika.

Hamisi Kigwangalla

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hajazoea kushindwa

Mourinho amesema amezoea sana kushinda na ametatizika kiasi kuzoea hali baada ya Chelsea kuanza vibaya kampeini ya ligi Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa

Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa

lowassaNA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...

 

10 years ago

Mwananchi

Asiyekubali kushindwa siyo mshindana

Ni kawaida kabisa kwa wanamichezo kupeana hongera wenzake wanapompiku. Utawaona wanariadha wakikumbatiana baada ya michuano; aliyeshindwa huitosa aibu mbali na kumpa heko mpinzani. Mabondia hali kadhalika. Huku damu zikimchuruzika, macho, midomo na taya vimevimbiana, lakini bado aliyenyukwa atampongeza adui yake. Hata kama awali walitukanana na kurushiana maneno ya matope. Yatakwisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani