Askari waliosababisha kifo Serengeti kubanwa
>Polisi mkoani Mara imesema itawachukulia hatua askari watakaobainika kuhusu katika kifo cha Samson Nyakiha (70) baada ya uongozi wa jeshi hilo kukutana na ndugu wa marehemu waliotelekeza maiti katika Kituo cha Polisi cha Wilaya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mqL9_Eb9l3c/VYd9VjcR70I/AAAAAAAHiXg/w8paiqPGy7Q/s72-c/0L7C3303.jpg)
Mafunzo kwa vitendo wa askari wa wanyamapori katika mbuga ya serengeti
![](http://4.bp.blogspot.com/-mqL9_Eb9l3c/VYd9VjcR70I/AAAAAAAHiXg/w8paiqPGy7Q/s1600/0L7C3303.jpg)
10 years ago
StarTV12 Jan
Kifo chenye utata, Ndugu warudisha mwili wa marehemu Polisi Serengeti
Na Sosy Wema,
Serengeti.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ndugu wa mtuhumiwa mmoja ambaye kwa sasa ni marehemu wamelazimika kurudisha mwili wa ndugu yao katika kituo kikuu cha polisi wilayani Serengeti kwa kile walichokieleza kuwa kifo cha ndugu yao huyo kilitokana na kipigo ambacho alikipata wakati akiwa mikoni mwa jeshi polisi na Askari wa TANAPA.
Msafara wa magari ukiwa na baadhi ya ndugu wa marehemu Samson Nyakiha (70) aliyefia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando alikokuwa akipatiwa...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata
10 years ago
Michuzi18 Feb
Taarifa Sahihi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ0Kuhusu Kifo cha Askari Wake Huko Mbalizi
![](https://3.bp.blogspot.com/-qVMOFXXprUg/VOMyCmuQ7MI/AAAAAAADNv0/J4lJYhHW94o/s1600/JWTZ.png)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya kifo cha Askari wake Praiveti Ahadi Mwaka Mwainyokole kilichotokea tarehe 4 Februari 2015 katika mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya.
Taarifa za mazingira ya kifo cha Askari huyo zimepotoshwa na baadhi ya Vyombo vya Habari na kusababisha mapokeo tofauti kwa wananchi.
Hali halisi ni kwamba, mnamo tarehe 4 Februari 2015 Askari huyo akiwa na Askari wenzake wanne (4) ambao ni Koplo Bedatu Benard Mloka, Praiveti Thani Hamisi Haji,...
11 years ago
Habarileo28 Feb
RC- Waliosababisha hasara bil. 4/- wakamatwe
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ameishauri Serikali Kuu ishughulikie wataalamu waliosababisha hasara ya Sh bilioni nne, kwa kuelekeza uchimbaji wa visima nane vyenye maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Waliosababisha uchaguzi kuvurugika wawajibishwe
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s72-c/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s1600/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fmUXTOHXw5A/Uvt-zwpBKpI/AAAAAAACamg/DNeO9tpxvSE/s1600/1st+draw+......pic+...3jpg.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s72-c/DSC_0801+(2).jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s1600/DSC_0801+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t20HPVs48k4/U1A4NchFkqI/AAAAAAACfGk/OqZ8UAD3Aik/s1600/DSC_0783+(3).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...