Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari waliosababisha kifo Serengeti kubanwa

>Polisi mkoani Mara imesema itawachukulia hatua askari watakaobainika kuhusu katika kifo cha Samson Nyakiha (70) baada ya uongozi wa jeshi hilo kukutana na ndugu wa marehemu waliotelekeza maiti katika Kituo cha Polisi cha Wilaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mafunzo kwa vitendo wa askari wa wanyamapori katika mbuga ya serengeti

Sehemu ya wanafunzi wa Chuo cha Wanyamapori cha Mweka  wakiwa katikati ya mbuga ya Serengeti mkoani Mara katika mafunzo  ya vitendo bila wasiwasi japokuwa nyuma yao kuna  kundi la nyati.

 

10 years ago

StarTV

Kifo chenye utata, Ndugu warudisha mwili wa marehemu Polisi Serengeti

Na Sosy Wema,

Serengeti.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida ndugu wa mtuhumiwa mmoja ambaye kwa sasa ni marehemu wamelazimika kurudisha mwili wa ndugu yao katika kituo kikuu cha polisi wilayani Serengeti kwa kile walichokieleza kuwa kifo cha ndugu yao huyo kilitokana na kipigo ambacho alikipata wakati akiwa mikoni mwa jeshi polisi na Askari wa TANAPA.

 

Msafara wa magari ukiwa na baadhi ya ndugu wa marehemu Samson Nyakiha (70) aliyefia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando alikokuwa akipatiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata

>Wingu zito limegubika kifo cha mke wa askari polisi wa wilayani Mwanga, Kilimanjaro aliyefia chumbani kwa dereva wa bodaboda. Uchunguzi wa awali wa polisi unadai kuwa mwanamke huyo alilala chumbani huko usiku mzima wa kuamkia Jumapili, siku ambayo maiti yake iligunduliwa saa 12 jioni.

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa Sahihi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ0Kuhusu Kifo cha Askari Wake Huko Mbalizi


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya kifo cha Askari wake Praiveti Ahadi Mwaka Mwainyokole kilichotokea tarehe 4 Februari 2015 katika mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya.
Taarifa za mazingira ya kifo cha Askari huyo zimepotoshwa na baadhi ya Vyombo vya Habari na kusababisha mapokeo tofauti kwa wananchi. 

Hali halisi ni kwamba, mnamo tarehe 4 Februari 2015 Askari huyo akiwa na Askari wenzake wanne (4) ambao ni Koplo Bedatu Benard Mloka, Praiveti Thani Hamisi Haji,...

 

11 years ago

Habarileo

RC- Waliosababisha hasara bil. 4/- wakamatwe

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ameishauri Serikali Kuu ishughulikie wataalamu waliosababisha hasara ya Sh bilioni nne, kwa kuelekeza uchimbaji wa visima nane vyenye maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliosababisha uchaguzi kuvurugika wawajibishwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchi nzima ulikumbwa na kasoro nyingi ambazo wananchi wengi wanasema zilitokana na uzembe au hujuma kwa upande wa maofisa walioteuliwa kuuratibu na kuusimamia.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.

   Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI


  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto) Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu huku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”

4

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.

2

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na   Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani