Kifo chenye utata, Ndugu warudisha mwili wa marehemu Polisi Serengeti
Na Sosy Wema,
Serengeti.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ndugu wa mtuhumiwa mmoja ambaye kwa sasa ni marehemu wamelazimika kurudisha mwili wa ndugu yao katika kituo kikuu cha polisi wilayani Serengeti kwa kile walichokieleza kuwa kifo cha ndugu yao huyo kilitokana na kipigo ambacho alikipata wakati akiwa mikoni mwa jeshi polisi na Askari wa TANAPA.
Msafara wa magari ukiwa na baadhi ya ndugu wa marehemu Samson Nyakiha (70) aliyefia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando alikokuwa akipatiwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAMBER ROSE ATOA KITABU CHENYE UTATA!
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Polisi warudisha vifaa vya Mansour
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Familia yatishia kususia mwili wa ndugu yao
FAMILIA ya marehemu Elinema Massawe imesema wataususa mwili wa marehemu ndugu yao katika Kituo cha Polisi Mbezi kwa Yusufu pindi polisi hao watakapolazimisha kazi ya upasuaji kufanywa na Daktari wa...
11 years ago
MichuziMTANZANIA AFARIKI MAREKANI, NDUGU WA MAREHEMU WATAKIWA KUJITOKEZA
10 years ago
CloudsFM05 Jan
MWILI WA MAREHEMU WAZIKWA NA KUKU TUMBONI
Lakini ghafla alijitokeza ndugu wa marehemu mwanamke kuwazuia waombolezaji, huku mwenyewe akiingia kaburini na kufungua sanduku na kuanza...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Utata wajitokeza kifo cha Meshack Yebei
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Utata maelezo kifo cha mshtakiwa wa ugaidi
WAKATI Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikielezwa kuwa taratibu za mazishi ya mtuhumiwa wa pili katika kesi ya ugaidi ya tukio la mlipuko wa bomu katika Baa ya Arusha Night...