Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu akemea wabunge kuzomeana

ASKOFU wa Kanisa la The Gospel Ministry, Kanda ya Kati, Christopher Madole, amekemea wabunge kutumia muda wao kuzomeana na kutukanana badala ya kujadili hoja. Akizungumza na Tanzania Daima jana juu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu akemea ANC

Askofu mkuu nchini Afrika Kusini Desmond Tutu, amesema kuwa Nelson Mandela angechukizwa sana na ANC kukosa kuwajumuisha watu wa jamii ya Afrikaans kwenye ibada za mazishi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemelwa akemea kauli ya Profesa Lipumba

Askofu Mstaafu, Donald Mtetemela amesema kauli ya Profesa Ibrahimu Lipumba kuwaita Wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa ni Intarahamwe inaweza kuamsha hisia za wananchi na kusababisha migogoro nchini na kusema inapaswa kupingwa na kulaaniwa.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Dallu akemea Utanganyika, ahofia Muungano

ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Geita, Damian Dallu, amekemea vuguvugu la watu wanaotaka kuirejesha Tanganyika katika siasa za Muungano.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni

Askofu wa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas NyaisongaASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.

 

10 years ago

Vijimambo

WABUNGE MH,MBATIA NA MH,MREMA WAKUTANA KANISANI,NI KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BABA ASKOFU STEPHANO MOSHI.

Mbunge wa kuteuliwa na rais,Jmaes Mbatia akizungumza jambo na mbunge wa jimbo la Vunjo ,Agustino Mrema mara baada ya kukutana kwa mara ya kwanza jimboni humo katika ibada ya kumbukumbu ya askofu wa kwanza wa KKKT dayosisi ya Kaskazini iliyofanyika mwishoni mwa wiki/Kanisala la KKKT ,Usharika wa Mamba Kotelailokofanyika ibada hiyoMbunge Mbatia akiingia kanisani humo.Ujenzi wa taasisi ya saratani ya Bishop Moshiunaofanyika kando ya Usharika huo.Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Bishop Moshi...

 

5 years ago

Michuzi

ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco amemteua Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda.

 

11 years ago

Michuzi

Hafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana

Mamia ya wakotiliki wamejitokeza kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga ambaye anahamia Mpanda kwa ajili ya kuendelea na kazi Dini.Sherehe hiyo iliyotanguliwa na Ibada ilifanyika katika Kanisa kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mkoani Dodoma.
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...

 

11 years ago

GPL

HAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA ‏

Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo (kulia) akipeana mkono na Askofu Gervas John Nyaisonga. Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akibusu Pete ya Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo.…

 

10 years ago

Michuzi

Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo

 Maaskofu kutoka nchi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Kanisa la Habari Njema kwa Wote, lililopo mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo, ambako kulifanyika sherehe za kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari Askofu Dk. Charles Gadi Jumapili

Moja ya kikundi cha kwaya ambazo zilitumbuiza katika hafla hiyo.


 Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili

 Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani