Atakaye kusifiwa
Makilla.blogspot.com Kazi umejifanyia na ujura unapewa, Wajibu uliokuwa, wala haujatimia, Ufanisi umevia, na ufanifu nafaa, Atakaye kusifiwa, wasiwasi anitia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
"Nikifa sitaki kusifiwa" - Riyama Ali, akerwa na tabia ya wasanii kuleta maigizo kwenye misiba
RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza na mengineyo basi atumie nafasi hiyo akiwa hai, haitaji kusifiwa akifariki kwani anaamini kuwa sifa hizo hatasikia.
“Nasema mapema kabisa sitaki kusifiwa nikifa, sifa mtu uipate ukiwa hai kama ni faida au kufurahia mwenyewe ujionee lakini nimeshafumba macho kuna faida...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Nani atakaye mrithi Kikwete katika CCM?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ESAh06ugGB8/XvB3-ol2ATI/AAAAAAALu5A/v2oNIcCo0SwWYhFy3sX4oDOZtXXSnbbrACLcBGAsYHQ/s72-c/NGOLE.jpg)
CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani
10 years ago
Michuziatakaye bashiri pambano la Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wa China kujishindia fedha
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika Machi 27 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha ambaye atakuwa mgeni rasmi.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_X-AvWH2MFs/VZ304YsihLI/AAAAAAAAxZE/2mxP9Wxle6Y/s72-c/pic%252Bmsekwa.jpg)
CCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama
![](http://2.bp.blogspot.com/-_X-AvWH2MFs/VZ304YsihLI/AAAAAAAAxZE/2mxP9Wxle6Y/s640/pic%252Bmsekwa.jpg)
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.CCM imeshaanza...
9 years ago
VijimamboDK MAGFUNGA KAZI MWANZA, RAIS KIKWETE ASEMA ATAKAYE FANYA FUJO IUCHAGUZI MKUU KUKIONA CHA MOTO
Dk Magufuli amewaomba watanzania wote kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo ambapo yeye amesema atawalipa kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo Wanzania.PICHA ZOTE NA RICHARD...
10 years ago
VijimamboBREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu
![](https://lh5.googleusercontent.com/-Gb4rdsn6HBY/UWMbnZzMGQI/AAAAAAAADi0/RQdKuX85gOY/w2048-h1536/Richi%2BRich%2BPalace.jpg)
UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t31.0-8/10518606_778078018915599_3019657558859037122_o.jpg)
UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...