Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUDIO: Mahojiano na Tausi Sued juu ya CSI FUNDRAISING


Dear All,

Come join the Embassy of Tanzania and Childbirth Survival International (CSI) for CSI’s first annual fundraising on September 12th at 4:30pm to 7pm, at the Embassy of Tanzania, Washington DC.

In Tanzania, many of the lives lost during pregnancy, childbirth, and immediately after birth, are often 100% preventable. We are calling upon You to join us and help save lives. This fundraising is to kickoff CSI’s saving lives at birth project in Biharamulo District in northwest Tanzania....

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Tausi Sued juu ya CSI FUNDRAISING


Dear All,

Come join the Embassy of Tanzania and Childbirth Survival International (CSI) for CSI’s first annual fundraising on September 12th at 4:30pm to 7pm, at the Embassy of Tanzania, Washington DC.

In Tanzania, many of the lives lost during pregnancy, childbirth, and immediately after birth, are often 100% preventable. We are calling upon You to join us and help save lives. This fundraising is to kickoff CSI’s saving lives at birth project in Biharamulo District in northwest...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

CSI Fundraising activities - Requesting for your support

attention especially within the Tanzanian community - Tuko pamoja, right?
1. CSI has received support from Rotary International to donate 200 childbirth kits to pregnant women at Amana Hospital in Ilala, Tanzania. Hii itakuwa trip yetu ya pili from 49 women to almost 250 women - lives saved. Each kit costs $6.59. Make a donation here. (We need to get these fairly soon, so they can ship with Pius (AllAfrika) end of July to make it in time for November hand-over).
2. CSI is collaborating with...

 

10 years ago

Michuzi

Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo

 Cheif wa swahilivilla blog Abou Shatry  na Ernest NapoleonBlog ya swahilivilla imepata furasa ya kufanya mahojiano na muigizaji, muongozaji na muandishi wa  filam ya kwanza Afrika Mashariki kukubalika kuuzwa kupitia iTunes ‘Going Bongo Ernest Napoleon a-filamu-ya-kwanza-afrika-mashariki-kukubalika-kuuzwa-kupitia-itunes-07-2014/Pata filamu hiyo ya kihistoria kwenye iTunes bit.ly/goingbongoitunes ama DVD bit.ly/goingbongodvd. Check trailer hapa bit.ly/goingbongotrailer, share na wenzio.Jiunge...

 

10 years ago

Vijimambo

[AUDIO]: Mahojiano na JhikoMan kuhusu wimbo wake mpya...Africa Arise

Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan aliyejiunga nasi moja kwa moja kutoka Bagamoyo, Tanzania
Alizungumzia wimbo wake mpya wa Africa Arise, ambao amemshirikisha Peter Morgan wa kundi la Morgan Heritage.
Amezungumza mengi kuuhusu
Karibu usikilize hapa chini

Pia unaweza kurejea mahojiano kati yao wakati JhikoMan akiwa ziarani Ulaya mwaka 2014. Alizungumza mengi kuhusu muziki wa reggae Tanzania lakini pia aligusia "projects" mbalimbali ambazo ziko njiani kuja

 

10 years ago

Michuzi

Sikiliza Audio ya Mahojiano ya Swahilivilla na Mwanamama 'Power Black Nyati 'Jike Jeuri',

Karibuni katika kusikiliza AUDIO ya Mahojiano na Mwanamama Maisara Juma Salah a.k.a Power Black Nyati 'Jike Jeuri', Kiboko wa Wanaume aeleza mengi kuhusu utumiaji wa nguvu zake, kama kuzuwia pikipiki kwa nyele, ubebaji mfuko wa saruji kwa meno, pamoja na kumbeba mwanamke kwa mkono wake mmoja ama kupasuliwa Jiwe kwenye kifua chake.Baada ya kuwatoa 'knock out' mabaunsa wawili, ilibidi aongezeke mwingine wawe watatu lakini bado walishindwa kupeleka kidole cha Jike Jeuri' chini wakati akifanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU

balozi Amina

Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.

Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania

Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali

Karibu

 

10 years ago

Vijimambo

Sikiliza AUDIO ya Mahojiano na Ahmed Mngazija ambae ni mmoja kati ya waathirika wa madawa ya kulevya Zanzibar

Haya ni MAHOJIANO na Ahmed Mngazija a.k.a (Pongonyongo) jinsi alivyojiingiza bila ya kutegemea katika janga la madawa ya kulevya. Ahmed azungumzia mengi juu ya maisha ya wengi walioathirika na mihadarati kisiwani ZanzibarSikujua wala sikutambua lakini nilipomsikiliza kwa makini ndipo nilipofunguka na kuelewa zaidi juu ya ndugu zetu waliotumbukia bila ya kutegemea katika uvutaji wa madawa ya kelevya, na kwa kweli wanahitaji kupewa msaada mkubwa wa kuwaponyesha na majanga haya.Jiunge nasi kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?” Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio)

Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kinachoendeshwa na Diva The Bawse kimeendelea kuvuka boda. Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa Nigeria. Kwenye mahojiano hayo Diva amemuuliza staa huyo kuhusu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani