Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUDIO: Zimbabwe fashionista on Beyonce

Zimbabwe's Farai Simoyi is one of the rising stars of the catwalk. The designer, who has worked with Beyonce and Nicki Minaj, spoke to the BBC's Farayi Mungazi about her career.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Lil Kim atoa version yake ya ‘Flawless Remix’ na kumdiss Nicki Minaj aliyeshirikishwa na Beyonce (Audio)

Weekend iliyopita Beyonce ameachia Remix ya wimbo wake ‘Flawless’ ambao kamshirikisha rapper Nicki Minaj. Lakini inavyoonekana Lil Kim ambaye sasa ni mama hakuridhika na baadhi ya mistari ya Minaj na kuamua kumjibu kwa kutoa ‘Flawless Remix yake’ Baadhi ya sehemu zilizotafsiriwa na Kim kama ni dongo kwake katika verse ya Nicki Minaj kwenye ‘Flawless Remix’, […]

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Fighting Zimbabwe's 'silent killer'

Public health efforts in Africa have focused on infectious diseases such as HIV and tuberculosis, but chronic diseases are also big killers. BBC Africa's Steve Vickers has been taking stock of heart disease in Zimbabwe.

 

11 years ago

TheCitizen

Fashionista and book-worm

Kemi Kalikawe is a young Tanzanian designer and owner of NALEDI, a company that deals in interior design, fashion, and event planning based in Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

BEYONCE KUSHIKA MIMBA SOON!

Diva wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles. New York, Marekani
DIVA wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles huenda akashika mimba hivi karibuni baada ya kuweka wazi kuwa yupo mbioni kupata mtoto wa pili na mumewe ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Shawn Carter ‘Jay-Z’. Kwa mujibu wa Jarida la In Touch linaweka wazi kuwa Beyonce (33) ambaye ni mama wa mtoto mmoja, Blue Ivy (3), kwa miezi kadhaa yupo katika kutafuta mtoto...

 

10 years ago

Vijimambo

KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z

bey4Kuna wakati Beyonce na mumewe Jay Z waliamua kuishi hotelini kwa muda wakidai hawajaona nyumba ya kununua kwa ajili ya wao kuweza kuishi.Ni hivi karibuni Jay Z ametajwa na jarida la Forbes kushika nafasi ya tatu kwa utajiri akiwa na zaidi ya dola milioni 500 kwa mastaa wa Hiphop wenye utajiri mkubwa zaidi. beySasa stori iliyochukua headlines ni wawili hao ni kuamua kununua nyumba ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 4 iliyopo New Orleans Garden, Marekani.Jengo hilo kabla ya kukarabatiwa...

 

10 years ago

GPL

KIM: SIJAMUIGA BEYONCE

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian. New York, Marekani
MTANGAZAJI maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian amefungukia gauni lake alilolivaa hivi karibuni na kusema kuwa hajamuiga staa mwenzake, Beyonce Knowles ambaye naye alilivaa. Beyonce Knowles. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, staa huyo alisema kwamba vazi alilovaa siku hiyo katika hafla...

 

11 years ago

Mwananchi

Jennifer, Beyonce kuzindua Kombe la Dunia

Kila wakati kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia, Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) hutafuta wimbo maalumu wa fainali hizo.

 

10 years ago

Bongo5

Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja

Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani