Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIM: SIJAMUIGA BEYONCE

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian. New York, Marekani
MTANGAZAJI maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian amefungukia gauni lake alilolivaa hivi karibuni na kusema kuwa hajamuiga staa mwenzake, Beyonce Knowles ambaye naye alilivaa. Beyonce Knowles. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, staa huyo alisema kwamba vazi alilovaa siku hiyo katika hafla...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI

Rihanna akiwa amevaa vazi la njano linalojulikana kama Guo Pei kwenye zulia jekundu.  Hapa palikuwa ni kwenye maonyesho ya mavazi yaliyojulikanakama Met Gala yaliyofanyika jijini New York, Marekani, jana.…

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

 

11 years ago

Bongo5

Lil Kim atoa version yake ya ‘Flawless Remix’ na kumdiss Nicki Minaj aliyeshirikishwa na Beyonce (Audio)

Weekend iliyopita Beyonce ameachia Remix ya wimbo wake ‘Flawless’ ambao kamshirikisha rapper Nicki Minaj. Lakini inavyoonekana Lil Kim ambaye sasa ni mama hakuridhika na baadhi ya mistari ya Minaj na kuamua kumjibu kwa kutoa ‘Flawless Remix yake’ Baadhi ya sehemu zilizotafsiriwa na Kim kama ni dongo kwake katika verse ya Nicki Minaj kwenye ‘Flawless Remix’, […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini

Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma

 

10 years ago

GPL

BEYONCE KUSHIKA MIMBA SOON!

Diva wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles. New York, Marekani
DIVA wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles huenda akashika mimba hivi karibuni baada ya kuweka wazi kuwa yupo mbioni kupata mtoto wa pili na mumewe ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Shawn Carter ‘Jay-Z’. Kwa mujibu wa Jarida la In Touch linaweka wazi kuwa Beyonce (33) ambaye ni mama wa mtoto mmoja, Blue Ivy (3), kwa miezi kadhaa yupo katika kutafuta mtoto...

 

10 years ago

Vijimambo

KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z

bey4Kuna wakati Beyonce na mumewe Jay Z waliamua kuishi hotelini kwa muda wakidai hawajaona nyumba ya kununua kwa ajili ya wao kuweza kuishi.Ni hivi karibuni Jay Z ametajwa na jarida la Forbes kushika nafasi ya tatu kwa utajiri akiwa na zaidi ya dola milioni 500 kwa mastaa wa Hiphop wenye utajiri mkubwa zaidi. beySasa stori iliyochukua headlines ni wawili hao ni kuamua kununua nyumba ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 4 iliyopo New Orleans Garden, Marekani.Jengo hilo kabla ya kukarabatiwa...

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Zimbabwe fashionista on Beyonce

Zimbabwe's Farai Simoyi is one of the rising stars of the catwalk. The designer, who has worked with Beyonce and Nicki Minaj, spoke to the BBC's Farayi Mungazi about her career.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani