BEYONCE KUSHIKA MIMBA SOON!

Diva wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles. New York, Marekani DIVA wa muziki wa Pop, Beyonce Knowles huenda akashika mimba hivi karibuni baada ya kuweka wazi kuwa yupo mbioni kupata mtoto wa pili na mumewe ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Shawn Carter ‘Jay-Z’. Kwa mujibu wa Jarida la In Touch linaweka wazi kuwa Beyonce (33) ambaye ni mama wa mtoto mmoja, Blue Ivy (3), kwa miezi kadhaa yupo katika kutafuta mtoto...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 May
Tasa kushika mimba kupitia sayansi
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Lazima ruhusa ya kushika mimba Uchina
10 years ago
GPL
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA
10 years ago
Vijimambo
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO

Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
9 years ago
Habarileo19 Dec
Waziri awahi ofisini kushika wachelewaji
KASI ya mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano, imeendelea kutikisa sehemu mbalimbali, ambapo katika Wizara wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, baadhi ya watumishi wameanza kuonja joto la viongozi hao kwa kutakiwa kuwahi kazini.
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Nkongo kushika kipenga mechi ya Simba, Yanga
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI



10 years ago
Mwananchi28 Jul
Dk Salim: Chama chochote kinaweza kushika dola