Lazima ruhusa ya kushika mimba Uchina
Wanawake walio kwenye ndoa sharti kupata kibali cha kushika mimba, la sivyo wanatozwa faini na adhabu nyingine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y5Mcq6BCU**TnP-Lx6-E8EDV-3BFMn8vDsfteyPBadu6x-vWl9EEeDG6qEaOAmVkCWHjrb30YA4Q2-ImQkTuxQLG4IZ03yLW/beyonce.jpg?width=650)
BEYONCE KUSHIKA MIMBA SOON!
11 years ago
BBCSwahili26 May
Tasa kushika mimba kupitia sayansi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtsf80eUzEv34RLbVSCu2wIkhSnYQPsnGLBaJrbX1pedkoOI42ld3PPwwK3g8rH11W9cu0ciK8*H4eN8SDWITH1/wema8.jpg)
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Uingereza yaomba ruhusa ya jeshi lake
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi
9 years ago
StarTV24 Nov
Waajiri wakumbushwa kutoa ruhusa kwa Michezo Ya Shimuta. Â
Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Arusha huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo.
Washiriki hao wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.
Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x__ggAuJpM0/XpoJ_DDdPWI/AAAAAAALnRk/4R_mTFTJzhgHmkwSwBz9Q26KkEcPiMyZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200408-WA0290.jpg)
Hatimaye Mjane na watoto wapewa ruhusa kuendelea kuchimba mgodi wa Ulomi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-x__ggAuJpM0/XpoJ_DDdPWI/AAAAAAALnRk/4R_mTFTJzhgHmkwSwBz9Q26KkEcPiMyZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200408-WA0290.jpg)
Mjane wa bilionea Jubilate Ulomi, Zainabu Mkwama na watoto wake wamepewa haki kuendelea kuchimbaji madini ya tanzanite katika mgodi wa bilionea huyo na kutupwa maombi ya kusimamishwa uchimbaji.
Mdogo wa bilionea huyo,Werandumi Ulomi alikuwa amewasilisha maombi ya kutaka kusitishwa uchimbaji huku akidai yeye alikuwa anamiliki mgodi na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alifuta safari za Watumishi wa serikali nje ya nchi na iwapo itatokea kuna safari za nje, ruhusa ni lazima itoke kwake au kwa katibu mkuu kiongozi, baada ya hayo kuna Watumishi wanne ambao wamekwenda nje ya nchi bila ruhusa yake, wamezungumziwa kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.