Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yaomba ruhusa ya jeshi lake

Uingereza imesema kuwa inafanya mazungumzo na kenya ili kutatua mzozo kuhusu mafunzo ya wanajeshi wake nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza kuweka jeshi lake Bahrain

Uingereza imesaini makubaliano na Bahrain ya kujenga kituo cha jeshi la wanamaji nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Buhari asifia jeshi lake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema jeshi la nchi yake liimepata mafanikio katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda kuondoa jeshi lake Sudan K

Uganda itaanza kuondoa majeshi yake Sudan Kusini ifikapo mwishoni mwa juma hili kwa mujibu wa kamanda mmoja

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Uingereza kufanya mazoezi Kenya

Uingereza imetia saini mkataba wa makubaliano ya kuendelea kuwa na kambi yake ya jeshi nchini Kenya kwa miaka mitano zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda imeondoa jeshi lake Sudan Kusini

Kundi la mwisho la wanajeshi wa Uganda waliosalia nchini Sudan Kusini wameondoka nchini humo leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lazima ruhusa ya kushika mimba Uchina

Wanawake walio kwenye ndoa sharti kupata kibali cha kushika mimba, la sivyo wanatozwa faini na adhabu nyingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi

Rais Zuma ataka pendekeza kuwa wageni wasiruhusiwe kumiliki ardhi Afrika Kusini ili Waafrika wapate nafasi

 

9 years ago

StarTV

Waajiri wakumbushwa kutoa ruhusa kwa Michezo Ya Shimuta.  

 

 

Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo  hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Arusha  huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo.

Washiriki hao wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.

 Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye...

 

5 years ago

Michuzi

Hatimaye Mjane na watoto wapewa ruhusa kuendelea kuchimba mgodi wa Ulomi.

Mjane Zainabu Mkwama na mtoto wa marehemu Mume wake Julius Olomi wakiwa mahakamani Wiki iliyopita wakipinga kutaka kuondolewa katika usimamizi wa mirathi

Mjane wa bilionea Jubilate Ulomi, Zainabu Mkwama na watoto wake wamepewa haki kuendelea kuchimbaji madini ya tanzanite katika mgodi wa bilionea huyo na kutupwa maombi ya kusimamishwa uchimbaji.

Mdogo wa bilionea huyo,Werandumi Ulomi alikuwa amewasilisha maombi ya kutaka kusitishwa uchimbaji huku akidai yeye alikuwa anamiliki mgodi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani