Uganda kuondoa jeshi lake Sudan K
Uganda itaanza kuondoa majeshi yake Sudan Kusini ifikapo mwishoni mwa juma hili kwa mujibu wa kamanda mmoja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Uganda imeondoa jeshi lake Sudan Kusini
Kundi la mwisho la wanajeshi wa Uganda waliosalia nchini Sudan Kusini wameondoka nchini humo leo.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
MSF kuondoa wafanyakazi wake Sudan.K
Shirika la MSF linajiandaa kuwaondoa wafanyakazi wake wa kutoa misaada nchini Sudan kwa sababu maafisa wakuu wanatatiza juhudi zao katika eneo hilo linalokabiliwa na mizozo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LxPKed2vox8/Xk021vO4-cI/AAAAAAABDLU/sLHiM6oYqdc0-MjuqrW2lqzbRTfXrC5iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kampuni ya Green Miles yatakiwa kuondoa vifaa vyake Kitalu cha Lake Natron.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LxPKed2vox8/Xk021vO4-cI/AAAAAAABDLU/sLHiM6oYqdc0-MjuqrW2lqzbRTfXrC5iACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mamlaka ya usimamizi wanyamapori nchini(TAWA) imetaka Kampuni ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha uwindaji cha Lake Natron (East),kuondoa vifaa vyake.
Kampuni hiyo iliondolewa na Serikali tangu, January 22 lakini hadi Jana watendaji wa Kampuni hiyo walikuwa hawajajitokeza kuondoa vifaa vyao kwenye kambi inayolindwa na Askari wa TAWA,polisi na askari mgambo .
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla Agost 7 mwaka jana alitangaza uamuzi wa Serikali...
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Uingereza yaomba ruhusa ya jeshi lake
Uingereza imesema kuwa inafanya mazungumzo na kenya ili kutatua mzozo kuhusu mafunzo ya wanajeshi wake nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Rais Buhari asifia jeshi lake
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema jeshi la nchi yake liimepata mafanikio katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili06 Dec
Uingereza kuweka jeshi lake Bahrain
Uingereza imesaini makubaliano na Bahrain ya kujenga kituo cha jeshi la wanamaji nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
9 years ago
TheCitizen14 Oct
Uganda troops leave S. Sudan after UN warning
Uganda has started pulling its troops out of South Sudan – 48 hours after the UN Security Council ramped up the pressure on warring parties to the conflict and their foreign allies.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania