Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda kuondoa jeshi lake Sudan K

Uganda itaanza kuondoa majeshi yake Sudan Kusini ifikapo mwishoni mwa juma hili kwa mujibu wa kamanda mmoja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uganda imeondoa jeshi lake Sudan Kusini

Kundi la mwisho la wanajeshi wa Uganda waliosalia nchini Sudan Kusini wameondoka nchini humo leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

MSF kuondoa wafanyakazi wake Sudan.K

Shirika la MSF linajiandaa kuwaondoa wafanyakazi wake wa kutoa misaada nchini Sudan kwa sababu maafisa wakuu wanatatiza juhudi zao katika eneo hilo linalokabiliwa na mizozo.

 

5 years ago

Michuzi

Kampuni ya Green Miles yatakiwa kuondoa vifaa vyake Kitalu cha Lake Natron.

 Mwandishi wetu,Longido
Mamlaka ya usimamizi wanyamapori nchini(TAWA) imetaka Kampuni ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha uwindaji cha Lake Natron (East),kuondoa vifaa vyake.
Kampuni hiyo iliondolewa na Serikali tangu, January 22 lakini hadi Jana watendaji wa Kampuni hiyo walikuwa hawajajitokeza  kuondoa vifaa vyao kwenye kambi inayolindwa na Askari wa TAWA,polisi na askari mgambo .
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla  Agost 7 mwaka jana alitangaza uamuzi wa Serikali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaomba ruhusa ya jeshi lake

Uingereza imesema kuwa inafanya mazungumzo na kenya ili kutatua mzozo kuhusu mafunzo ya wanajeshi wake nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Buhari asifia jeshi lake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema jeshi la nchi yake liimepata mafanikio katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza kuweka jeshi lake Bahrain

Uingereza imesaini makubaliano na Bahrain ya kujenga kituo cha jeshi la wanamaji nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Safari ya Sudan hadi Uganda

Kisa cha familia kutoroka vita Sudan Kusini kwenda ukimbizini Uganda

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI

JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.

Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.

Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...

 

9 years ago

TheCitizen

Uganda troops leave S. Sudan after UN warning

Uganda has started pulling its troops out of South Sudan – 48 hours after the UN Security Council ramped up the pressure on warring parties to the conflict and their foreign allies.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani