Safari ya Sudan hadi Uganda
Kisa cha familia kutoroka vita Sudan Kusini kwenda ukimbizini Uganda
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Safari ya Kenya hadi 50 tangu 63
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjPxKR4AR6ym64YK6LYDqbCoSzQRkY-7x7yPP3CF-ji8JyaSV-r-aJPMZ4wmYoyqI20NZh6eFC351XIZ5z2IrYaD/deluxe.jpg?width=650)
SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli kutoka Chile hadi Kilimanjaro!
Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
New Safari Restaurant Washington DC sasa inafunguliwa Jumanne hadi Jumapili-Karibuni
![](http://3.bp.blogspot.com/-jIndsVhptlI/U0zSsemM4mI/AAAAAAAANlU/Epi1uLaHloY/s1600/IMG_20140414_163607.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vTGrEPW-HU/U0zStWwb6dI/AAAAAAAANlo/FWZAoVXa4k4/s1600/IMG_20140414_170852.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUDUIZZ9KT8/U0zXBRbU7LI/AAAAAAAANmA/c6mGG1XIWLk/s1600/20140411_173226.jpg)
New Safari Restaurant Inavyoonekana kwa sasa Ndani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z9F_41cvIUU/U0zXBlYM16I/AAAAAAAANmE/jeRYChJR9OI/s1600/20140411_175828.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oE1vjjnm4dI/U0zXB1MjuLI/AAAAAAAANmI/gm8dtUK9dvc/s1600/20140412_174414.jpg)
Baadhi ya Kinadada wa Tano Ladies Wakipata Lunch
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na Wageni wake Wakipata Dinner.
Wakurugenzi Wakiburudika na Kinywaji baada ya Mlo.
Wadau Mbali Mbali Wakijumuika Pamoja bila kujali itikadi zao.
KARIBUNI TUNAFUNGUA JUMANNE HADI JUMAPILI DINNER...
10 years ago
Michuzi25 Jul
TAARIFAKUHUSU KUAHIRISHWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA HADI KESHO JIONI JULAI 25, 2015
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na abiria waliokuwa wasafiri na treni ya leo Ijumaa Julai 24, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda bara kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho saa 11 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Ijumaa Julai 24, 2015 saa 8:15 alasiri maeneo ya Stesheni za Mazimbu –Mkata mkoani Morogoro ambapo ilihusisha mabehewa matano ya treni ya mizigo iliyokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bShOdSmtZqc/VTOccJhNNiI/AAAAAAAHR-k/z_BEqYLxg1o/s1600/Picture%2B3.jpg)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta, yupo kwenye headlines kwa sasa baada ya dili lake la kwenda kucheza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kuwa katika nafasi kutokana na kuwa tayari ameshasaini mkataba wa awali. Huenda ukwa umemfahamu Mbwana Samatta […]
The post Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji appeared first on...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72212000/jpg/_72212598_72210299.jpg)
VIDEO: S Sudan refugees flee to Uganda
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Uganda kuondoa jeshi lake Sudan K