Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya Sudan hadi Uganda

Kisa cha familia kutoroka vita Sudan Kusini kwenda ukimbizini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Safari ya Kenya hadi 50 tangu 63

Wachoraji wa vibonzo nchini Kenya watoa taswira yao kuhusu Kenya ilipofika tangu mwaka 1963

 

10 years ago

GPL

SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU

Uongozi  wa Kampuni ya Reli  Tanzania  (TRL) unasikitika kuwataarifu abiria  wa treni ya Deluxe ya kwenda  Kigoma leo Mei 17, 2015 saa 2 usiku kuwa safari hiyo imeahirishwa  hadi kesho Jumatatu Mei 18, 2015 saa 2 usiku. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa  zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo. Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli kutoka Chile hadi Kilimanjaro!

Lelo6

Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko  wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.

Lelo4

Lelo3

 

11 years ago

Dewji Blog

New Safari Restaurant Washington DC sasa inafunguliwa Jumanne hadi Jumapili-Karibuni

Untitled 11

Mbuzi wa Kukaanga                         Nyama ya Kuchoma

New Safari Restaurant Inavyoonekana kwa sasa Ndani.

Baadhi ya Kinadada wa Tano Ladies Wakipata Lunch

  Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na Wageni wake Wakipata Dinner.

                                      

                          Wakurugenzi Wakiburudika na Kinywaji baada ya Mlo.

Untitled 22

Wadau Mbali Mbali Wakijumuika Pamoja bila kujali itikadi zao.

KARIBUNI TUNAFUNGUA JUMANNE HADI JUMAPILI DINNER...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFAKUHUSU KUAHIRISHWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA HADI KESHO JIONI JULAI 25, 2015


Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika  kuwataarifu wananchi na abiria waliokuwa wasafiri na treni ya leo Ijumaa Julai 24, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda bara kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho saa 11 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Ijumaa Julai 24, 2015  saa 8:15 alasiri maeneo  ya  Stesheni  za Mazimbu –Mkata mkoani  Morogoro ambapo ilihusisha mabehewa matano ya  treni ya  mizigo iliyokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Tanzania, Lawrence Masha.Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta, yupo kwenye headlines kwa sasa baada ya dili lake la kwenda kucheza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kuwa katika nafasi kutokana na kuwa tayari ameshasaini mkataba wa awali. Huenda ukwa umemfahamu Mbwana Samatta […]

The post Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji appeared first on...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: S Sudan refugees flee to Uganda

Thousands of refugees fleeing violence in South Sudan have been crossing the border into neighbouring Uganda, but food is in short supply and basic services lacking.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda kuondoa jeshi lake Sudan K

Uganda itaanza kuondoa majeshi yake Sudan Kusini ifikapo mwishoni mwa juma hili kwa mujibu wa kamanda mmoja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani