Aunt Agoma Kufunguka Ndoa Yake na Iyobo
KAMA kawaida yetu katika kolamu hii kuwaleta mastaa mbalimbali na kubananishwa na wasomaji wetu katika mambo tofauti yanayohusu maisha yao kiujumla, siku ya leo tunaye staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye anafunguka mambo kedekede aliyoulizwa na mashabiki wake.
Msomaji: Naitwa Kuruthumu, napenda nije kuwa muigizaji mkubwa kama wewe, nifanyaje?.
Aunt: Nakushauri ujikite kwenye vikundi vya maigizo mpaka pale utakapokuwa fiti na kukubalika kwa waigizaji wakubwa, basi hapo utakuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNNm30dyCbC*K-Ew4QOz9PR5wRuRQgqL7D-mNONLdLyZQZnkonMV9oUUKHzbBEXwsnbZXsByvu20i0xyZfHqsQyK/Aunt.jpg)
AUNT: BILA CHETI CHA NDOA, SIMUACHI MOSE IYOBO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dtnYYobYBgc/XoDktU-lrLI/AAAAAAALles/JF_oRfAdca0Y6N-uonfJJ1Zu2tbyt2EKQCLcBGAsYHQ/s72-c/662da048-8aba-4dca-9e97-1319d5b28318.jpg)
SUMAYE AKABIDHIWA RASMI KADI YA CCM NA DK BASHIRU, AGOMA KUFUNGUKA KILICHOMUONDOA AWALI
Charles James, Globu ya Jamii
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amekabidhiwa rasmi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo hii jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Bashiru Ally.
Sumaye amekabidhiwa kadi hiyo leo baada ya kutangaza kurejea CCM Februari 10 mwaka huu akitokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho kikuu cha upinzani.
Akizungumza wakati akimkabidhi kadi, Dk Bashiru amesema kurejea kwa Sumaye ni faida...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Aunt: Iyobo amenisitiri
Staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson akiwa na mpenzi wake Moses Iyobo.
IMELDA MTEMA
MANENO kuntu! Staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson amekiri hadharani kuwa anamshukuru mwandani wake, Moses Iyobo kumsitiri kwa kumpatia ujauzito kisha kujifungua na kuitwa mama kwani angezeeka bila mtoto.
Mwanadada huyo alisema kuwa Iyobo ni kidume wake wa mwaka 2015 maana ilikuwa si kazi rahisi kwa sababu alikuwa anaona miaka inazidi kusonga huku uzee ukibisha hodi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63Qf3IOQsE**zt9t-4Qz-au4WhJhVfOemJlQjhBuwJoZLDXqSXcosdgCqV9jwf18bBJU3AAjnH2xa0kyVm8SIjM/iyobo.jpg?width=650)
IYOBO WA AUNT: SIJAOA, NIMEZAA TU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83s346Aw9bUQl74yCQXEuahuTDqo**tZM*d-EeRDCmWeEFN72YcQcocuyOEACMUnwYgG48Tt5Wu7BaIRoqkQ8JqD/Aunt.gif?width=650)
AUNT, MKE WA IYOBO PACHIMBIKA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMphhUEzEWJElbf*KexwmGX-ZLj7osrLvgYFndPdXVzf*dHOMPS3ktuwaxmD78vFbHWRkvhp3dNx8rnKkgg3nW6/aunti.jpg)
IYOBO: NANI ANASEMA AUNT MZEE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CgwvKmsfinq8A-dIxbZViWHFLtLhfrsxqIqXlg14F7f7Te5LZIhxc5MJOSfe0KEBTqcfi8Ct7Lg4Dcv2DjU3*XFH7-1d6hNv/aunti.jpg)
AUNT, IYOBO MAHABA NIUE ZENJI!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAEkB9ToANpqKLwfgpYdDFx1AA6BK6m9kDo2SbXusvqrxbHhOA4mHfWR0m8bkB*CJktoJeN3Y2A7AoxhLQVbGdok/Iyobo.jpg?width=650)
IYOBO AKUBALI KUMUACHIA MTOTO MUME WA AUNT
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri
DANSA wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.
alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.
“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...