Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka na Dancer wa Diamond Plantumz
Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa anatoka na mcheza shoo wa mwananuziki Diamond Platnumz – Mozes iyobo kama ifuatavyo
Kupitia kwenye kipindi cha redio cha Clouds Fm cha Gossip cop, mwanadada huyu amefunguka na kusema kuwa yeye na Moses ni marafiki tu na wapo karibu sana ila sio kuwa wana mahusiano ya kimapenzi kama watu wananavyodai
Akiongea na gossip cop, aunty alielezea kuwa ndo yake na Mume wake bado ipo vizuri na hawezI...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MBOTO: SIJAWAHI KUTOKA NA AUNT EZEKIEL
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Mimba yamchosha Aunt Ezekiel
NA GEORGE KAYALA
MKALI wa filamu ya Chozi la Mwanjaa, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.
Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.
“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue,...
10 years ago
GPL
MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL
11 years ago
GPL
AUNT EZEKIEL ATAMANI KUOKOKA!
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi
STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko...
11 years ago
GPL
PUB YA AUNT EZEKIEL CHALI
11 years ago
GPL
AUNT EZEKIEL NA UKWELI MCHUNGU!
11 years ago
GPL
AUNT EZEKIEL AZICHAPA UKUMBINI