AUNT: NILIONANA NA NYALANDU UKUMBINI
![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT3gXt23Ub-QVi0-LWOi*tFdRF-RHjJKfUGrR5*IdJrOinF3d*F51SMs5ypFlSgYFMfNj-X59ny-8WHzerfOLxZ4/aunty.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel, amesema hakuna ukweli wowote wa yeye kutanua na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu nchini Marekani, kwani alikutana naye ukumbini, akiwa amealikwa na blog iitwayo Vijimambo ambayo hutangaza utalii wa Tanzania nchini humo kila mwaka. Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel . Alisema wakati wa safari yake hakuelewa lolote kuhusu Waziri Nyalandu na anashangazwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOIde3FMdLUQO*puXeAxc2ZPMYbDmqDD7KoJnVOvZ9qERTcPMrHW0DaHba*39u*Ho7Dt8RSY9ijeMxgBHVhASWpQ/AUNT.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AZICHAPA UKUMBINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6DIJVUXuZf8nHkXw026bSbAdPvBMRQ44XZzb8hKGaJAb6J7QedakIdTc5378N8Wq8xqJbdo*TVvtxbCy3yo8tXe/auntezekiel4.jpg?width=650)
AUNT AZUA MINONG’ONO UKUMBINI USIKU
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!
Jana wakati mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema , akichangia hoja Bungeni nakudai kuwa mawaziri wengi hawana ubunifu nakumrushia “bomu” Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuwa anazunguka nje ya nchi na msichana kwa madai ya kutangaza utalii.
Lema alisema;
“Angalia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alikwenda kutangaza utalii nje ya nchi akiwa ameongozana na (mwigizaji maarufu wa filamu wa Tanzania) Anti Ezekiel,” alisema na kuongeza kuwa waziri huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xa7NqpzzajpJsLH5ksHUfrlaH0aATNE09AgPuOVRhJTd3JT9pXNPUTW3a2P0rHAqm63ott4DbNIYRdmyqJDhQ2/Untitled5.jpg?width=650)
WAZIRI NYALANDU AFUNGUKIA MIMBA YA AUNT EZEKIEL
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Aunt Ezekiel afunguka kuhusu uhusiano wake na Waziri Nyalandu
10 years ago
VijimamboWAZIRI LAZARO NYALANDU AZUNGUMZIA TETESI ZA KUTANUA NA AUNT EZEKIEL NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rOQZv28JtgI/T4gLSkQwLzI/AAAAAAAAHJE/BksQRWxDToI/s640/1.jpg)
Nyalandu alisema alikwenda Marekani septemba12 kwa ajili ya kufungua tamasha la utamaduni na utalii kupitia soko la wasanii wa Tanzania ambako...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWSb7RQErnkq9zpizM4EIzniDxjhM1pNAvFeSSvlIUbHgeyE*SPOe-S3I7iwgtPJb9p-1y77q9Yc3R1Vfr8VmdGQ/FRONTAMANI.jpg?width=650)
LULU AWEHUKA UKUMBINI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0CJZ8Pib-vp0mRzHnTGDaK1SyeWaZd6YHgSTiBm42SDZJaMK5IOuNgD6WE2g6-SFBcd0QL12V0MYeaB9fAbbOME/Ray.gif?width=650)
RAY AANGUA UKUMBINI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwl68GHtiHBwJADtBNnsWtCEmZ9crlZp3QvA5mU*X5fmxqz2lVEDnh7bZQlfsNKKpD2own-*BT2K6p70-4W1UcvY/lulu.jpg?width=650)
LULU AOGESHWA POMBE UKUMBINI