Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU AOGESHWA POMBE UKUMBINI

Stori: Musa Mateja na Gladness Mallya
Kha! Katika hali isiyoitarajiwa, nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ amejikuta akiangua kilio cha ukweli kama mtoto kufuatia kuogeshwa kwa pombe mwilini, jambo ambalo hakulitarajia, Risasi Jumamosi limetonywa.
Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ akimwagiwa pombe kwenye birthday yake. Tukio hilo la aina yake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LULU AWEHUKA UKUMBINI

Stori: Musa Mateja Mchecheto! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, hivi karibuni alijikuta akiendelea kuwehukia penzi la mwanamuziki Mkanada anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Justin Drew Bieber (20), Amani  lina cha kushika mkononi. Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Ishu hiyo ilitokea Julai 14, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa BoT uliopo maeneo ya...

 

9 years ago

GPL

LULU AMHENYESHA MBOTO UKUMBINI

DIVA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni amemhenyesha staa mwenzake wa filamu, Haji Salum ‘Mboto’ baada ya kumpa kibarua cha kulishika gauni lake lisiguse chini. Tukio hilo lilitokea kwenye fainali ya shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT 2015) iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta jijini Dar ambapo Lulu na Mboto walikuwa...

 

11 years ago

GPL

LULU: SASA NAIHESHIMU POMBE

Na Imelda Mtema MSANII wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kuwa sasa hivi anaiogopa na kuiheshimu sana pombe akiamini kwamba ndiyo chanzo cha maisha kuharibika. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Lulu alisema tangu ametoka gerezani ameamua kujiweka pembeni na kilevi hicho na kwamba bora aitwe mshamba. “Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo...

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA BELINA ‘AOGESHWA MAHELA’

Stori: Mwandishi Wetu
Mtoto wa mwanamitindo Belina Mgeni, Nayla Farid  ambaye amefanyiwa maulidi ya kutimiza siku arobaini juzikati, alijikuta akiloa minoti baada kila aliyetaka kumshika kumpa ‘nyekundu nyekundu’ na wengine Dola za Kimarekani. Shughuli hiyo ilifanyika nyumbani kwa Belina, Mbezi Makonde jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali ambao mbali na kunywa na kula pia walionesha upendo wao kwa...

 

11 years ago

CloudsFM

SHETA AOGESHWA MAJI YA UKOKO SIKU YAKE YA KUZALIWA

Staa wa Bongo Fleva,Sheta alijikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya ukoko na wasanii wenzake siku ya kuzaliwa kwake jana.Kisanga hicho kilimkumba jana wakati alipohudhulia futari iliyoandaliwa na Tanzania House of Tatent(THT)baada ya watu kufuturu nay eye kuingia ndipo walipomuita pembeni kama wanaongea naye kilichotokea hapo ni kumwagiwa maji ya ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

 

10 years ago

Raia Mwema

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu

"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "

Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema  hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.

 

 

 

9 years ago

GPL

RAY AANGUA UKUMBINI!

WAANDISHI WETU BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani