AUNTY: MWANANGU ATANIFUTA MACHOZI YA KUFIWA
![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqBWxnsykvHy-v5*vPfhrd7edd3RothSkrSvm-5V*SHDbeybZ0PvwYGsljMw*NABAlF8NQUpO8gYbaBoDyQOwje/3.jpg)
Na Laurent Samatta/Uwazi MKALI wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amefunguka kuwa pamoja na kupoteza wazazi wake miaka kadhaa nyuma pindi akiwa mdogo, anaamini mtoto atakayejifungua atamfuta machozi ya muda mrefu ya kuwapoteza wazazi wake. Mkali wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Aunty alifunguka ishu hiyo kwa upole, ambapo alisema kifo cha wazazi wake kilimfanya kulelewa na bibi yake pamoja na shangazi. “Kutokuwa na wazazi ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Jun
Aunty Ezekiel: Sipendi Mwanangu Awe Mwigizaji
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
‘’Binafsi sipendi mwanangu awe mwigizaji kama mimi,na siyo lazima kama mimi mama yake niwe mwigizaji na yeye awe hivyo kuna kazi nyingi ila ninachotaka asome sana...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
10 years ago
Vijimambo25 Jun
Taarifa ya Kufiwa:
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD51-Cc9yyfDn2ov6-4rSrc5fahHHyP3f8ykVKiDsQH5Vjkzs5RW3UALG7JTRfjQWJON4NUrskX*v2-ypwZHb9QLH3/Lulu.gif?width=650)
LULU APATA PIGO LA KUFIWA
11 years ago
Michuzi17 May
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?
10 years ago
MichuziMh. Lowassa amfariji mzee Ndejembi,kwa kufiwa na mjukuu wake
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Tanzania Bloggers Network wamfariji Mzee Kitime kwa kufiwa
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Mwenyekiti-wa-muda-wa-Chama-cha-Bloggers-Tanzania-TBN-Joachim-Mushi-kulia-akikabidhi-ubani-wa-fedha-shilingi-900000-kwa-mwanamziki-mkongwe-John-Kitime-kushoto-ambaye-amefiwa-juzi-na-mkewe-tukio-hilo-lilifanyika-Kima1.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamuziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa fedha zilizotolewa na wanachama wa TBN jana eneo la Kimara Nguzo ya 800 jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa TBN walifika kumfariji Kitime ambaye pia ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150215-WA0080.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa...