Taarifa ya Kufiwa:
Mwanajumuiya mwenzetu wa New York Bi Dyness Mosha amefiwa na kaka yake mkubwa- ghafla kutokana na pumu. Marehemu, Bw. Romeli Mosha, alikuwa akiishi mkoani Kilimanjaro, Tanzania mpaka mauti yalipomkuta siku ya Jumanne wiki hii. Tunaweza kuwasiliana na Dyness kumpa pole kwenye na namba ya simu (914) 356-7328 Shukran, Jumuiya ya Watanzania NY.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD51-Cc9yyfDn2ov6-4rSrc5fahHHyP3f8ykVKiDsQH5Vjkzs5RW3UALG7JTRfjQWJON4NUrskX*v2-ypwZHb9QLH3/Lulu.gif?width=650)
LULU APATA PIGO LA KUFIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqBWxnsykvHy-v5*vPfhrd7edd3RothSkrSvm-5V*SHDbeybZ0PvwYGsljMw*NABAlF8NQUpO8gYbaBoDyQOwje/3.jpg)
AUNTY: MWANANGU ATANIFUTA MACHOZI YA KUFIWA
11 years ago
Michuzi17 May
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?
10 years ago
MichuziMh. Lowassa amfariji mzee Ndejembi,kwa kufiwa na mjukuu wake
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Tanzania Bloggers Network wamfariji Mzee Kitime kwa kufiwa
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Mwenyekiti-wa-muda-wa-Chama-cha-Bloggers-Tanzania-TBN-Joachim-Mushi-kulia-akikabidhi-ubani-wa-fedha-shilingi-900000-kwa-mwanamziki-mkongwe-John-Kitime-kushoto-ambaye-amefiwa-juzi-na-mkewe-tukio-hilo-lilifanyika-Kima1.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamuziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa fedha zilizotolewa na wanachama wa TBN jana eneo la Kimara Nguzo ya 800 jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa TBN walifika kumfariji Kitime ambaye pia ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150215-WA0080.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa...
10 years ago
Vijimambo16 Feb
anzania Bloggers Network Wamfariji Mzee Kitime kwa Kufiwa
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Mwenyekiti-wa-muda-wa-Chama-cha-Bloggers-Tanzania-TBN-Joachim-Mushi-kulia-akikabidhi-ubani-wa-fedha-shilingi-900000-kwa-mwanamziki-mkongwe-John-Kitime-kushoto-ambaye-amefiwa-juzi-na-mkewe-tukio-hilo-lilifanyika-Kima1.jpg)
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa fedha zilizotolewa na wanachama wa TBN jana eneo la Kimara Nguzo ya 800 jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa TBN walifika kumfariji Kitime ambaye pia ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150215-WA0080.jpg)
10 years ago
GPLTANZANIA BLOGGERS NETWORK WAMFARIJI MZEE KITIME KWA KUFIWA
10 years ago
CloudsFM14 Aug
HALI YA AFANDE SELE SI NZURI BAADA YA KUFIWA NA MAMA WA WATOTO WAKE
Msanii wa Bongo Fleva,Afande Sele hali yake imekuwa mbaya baada ya kufiwa na mzazi mwenziye Asha Mohamed’Mama Tunda’.
Msanii huyo inawezekana akawa ni moja kati ya watu maarufu hapa nchini ambao wanaongoza kwa kuwataja wenza wao sehemu tofauti tofauti ambapo zaidi ya miaka 10 amesikika akimtaja wa ubavu wake, mara kwa mara hiyo ni wakati wakiwa wanaishi pamoja na mama tunda ambaye ni mzazi mwenzake waliyezaa nae watoto wawili, wa kwanza ni Tunda pamoja na Asante Sanaa. Mama Tunda amefariki...