AUNTY: SINA GUNDU NA WANAUME!
![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CrTBUAKMtliAKbBXV9AyZ78OfIHAifJ49GTbEp3owBfYOdOyB8GT6j-HlNqqRebf1dB3iDao1y-veix31920ZMW/Aunty.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya GUNDU? Baada ya kudaiwa kuwa na gundu kufuatia kila mwanaume anayeishi naye kuandamwa na majanga, staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson ameibuka na kukanusha madai hayo akisema hayana ukweli. Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson. Baada ya maneno hayo kutua katika dawati la Ijumaa Wikienda, wanahabari wetu walimsaka Aunt ili kumsikia anazungumziaje taarifa hizo ambapo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyX6b85vL9eTLoUfB45SEVZ344e2tWkfUPrcfL6Xl6yiotg6OKRnBs6Oe947Um9bloz5dGA4SwF0r-UE8kgP5WXL/sara1.jpg?width=650)
SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Victoria: Sina mpango na wanaume wa Kenya
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Victoria Kimani, amesema hana mpango wa kuolewa na wanaume wa nchini Kenya kwa kuwa hawajui kukaa na wapenzi wao.
Mrembo huyo amesema wanaume wengi wa nchini humo wamekuwa tofauti na wale wa nchini Nigeria, hivyo ni bora aelekee huko kwa ajili ya kupata mwanaume bora ambaye atadumu naye.
Msanii huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika muziki mara baada ya kusaini mkataba mpya katika kampuni ya kusimamia kazi zake ijulikanayo kwa jina la...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
9 years ago
Habarileo02 Jan
Simba yaondoa gundu
SIMBA jana ilianza mwaka mpya kwa kuondoa gundu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini, kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara dhidi ya Ndanda ya huko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhuAiHf6SFebUdShSEw*4h3YDblS32TAui7-qDjMqNfblRUq1VcgJ5BlA7nM1-iwy6pTGf5m5ALfO-I3hvTYpTp/Johari.gif?width=650)
ETI MAYA, JOHARI WANA GUNDU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvd*nFL*bGfblIp66KmvNhTrEtxU1xJEX1V0y1pkv26TbhUM2Bm3P1F8W60t1KLzLNLZoU4XzzXr0qgBB9Nx3Ols/DUDE.jpg)
DUDE: MWAKA 2014 NI GUNDU KWANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOob0k34D798hETz*Gxph6q37T0yakgRqB3eS7VfE-OKGCvdD8nYkxF4j7oafVyhT3Z*jzNrqJxL2Od3KD9phiPya/LaVeda6.jpg?width=650)
LA VEDA: IDRIS, FEZZA KESSY NA DIAMOND WAMETOA GUNDU KWA WASANII WA BONGO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...