Simba yaondoa gundu
SIMBA jana ilianza mwaka mpya kwa kuondoa gundu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini, kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara dhidi ya Ndanda ya huko.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CrTBUAKMtliAKbBXV9AyZ78OfIHAifJ49GTbEp3owBfYOdOyB8GT6j-HlNqqRebf1dB3iDao1y-veix31920ZMW/Aunty.jpg?width=650)
AUNTY: SINA GUNDU NA WANAUME!
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya GUNDU? Baada ya kudaiwa kuwa na gundu kufuatia kila mwanaume anayeishi naye kuandamwa na majanga, staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson ameibuka na kukanusha madai hayo akisema hayana ukweli. Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson. Baada ya maneno hayo kutua katika dawati la Ijumaa Wikienda, wanahabari wetu walimsaka Aunt ili kumsikia anazungumziaje taarifa hizo ambapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvd*nFL*bGfblIp66KmvNhTrEtxU1xJEX1V0y1pkv26TbhUM2Bm3P1F8W60t1KLzLNLZoU4XzzXr0qgBB9Nx3Ols/DUDE.jpg)
DUDE: MWAKA 2014 NI GUNDU KWANGU
Stori: Gladness Mallya
TUKIWA tunaelekea ukingoni mwa mwaka, msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa mwaka 2014 ulikuwa hauna bahati (gundu) hivyo anamuomba Mungu huo ujao uwe wa baraka kwake. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akipiga stori na gazeti hili, Dude alisema ndani ya mwaka huu hakuweza kufanikisha lengo lolote kati ya yale aliyojiwekea ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhuAiHf6SFebUdShSEw*4h3YDblS32TAui7-qDjMqNfblRUq1VcgJ5BlA7nM1-iwy6pTGf5m5ALfO-I3hvTYpTp/Johari.gif?width=650)
ETI MAYA, JOHARI WANA GUNDU
Imelda Mtema
Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’, amefunguka kuwa anahisi yeye na mwigizaji mwenzake ambaye ni mkongwe, Blandina Chagula ‘Johari’ wana gundu kwani wasanii wenzao wengi wana watoto na wengine ni wajawazito lakini wao wapowapo tu. Mwigizaji mkongwe Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Maya alisema kuwa kuna...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyX6b85vL9eTLoUfB45SEVZ344e2tWkfUPrcfL6Xl6yiotg6OKRnBs6Oe947Um9bloz5dGA4SwF0r-UE8kgP5WXL/sara1.jpg?width=650)
SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME
Msanii wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi. BRIGHTON MASALU MSANII wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa ana gundu na wanaume na kwamba wengi humkimbia kutokana na sharti analowapa. Akizungumza na Amani, Sarah alisema katika maisha yake hajawahi kufurahia mapenzi, aliwahi kuishi kwenye ndoa kwa miaka 12 lakini hakuwahi kufurahia maisha ya kuolewa. “Si kwamba sitongozwi, la hasha, natongozwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOob0k34D798hETz*Gxph6q37T0yakgRqB3eS7VfE-OKGCvdD8nYkxF4j7oafVyhT3Z*jzNrqJxL2Od3KD9phiPya/LaVeda6.jpg?width=650)
LA VEDA: IDRIS, FEZZA KESSY NA DIAMOND WAMETOA GUNDU KWA WASANII WA BONGO
La Veda baada ya kuwasili jijini Dar akitokea nchini Afrika Kusini alipokwenda kushiriki fainali za BBA.…
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
CAF yaondoa marufuku ya umri
Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limefutilia mbali marufuku ya umri wa wagombea viti vya uenyekiti katika uchaguzi wake.
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Mahakama yaondoa kinga ya wabunge
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imefungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
CAF yaondoa marufuku ya Gambia
CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.
5 years ago
CCM Blog29 May
MAREKANI YAONDOA MISAMAHA YA NYUKLIA YA IRAN
![Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran](https://media.parstoday.com/image/4bv881fca6e0621mq4l_800C450.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania