Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yaondoa kinga ya wabunge

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imefungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA IRINGA YAONDOA ZUIO LA KUPINGA MCHAKATO WA MADIWANI KUMNG'OA MEYA ALEX KIMBE NAFASI YAKE KWA TUHUMA MBALIMBALI

Na Francis Godwin, Iringa 
MAHAKAMA ya hakimu mkazi  Iringa  imeondoa mahakamani hapo   shauri  dogo namba 5 la mwaka  2020 lililofikishwa katika mahakama hiyo na  mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa kupitia  chama  cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) Alex  Kimbe  ya kupinga mchakato wa  madiwani  wa chama cha mapinduzi (CCM) kutoka  kumung'oa katika nafasi yake ya umeya kwa  tuhuma  mbali mbali zikiwemo za matumizi mabaya ya madaraka.
Akisoma    hukumu  ya kesi hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wavurugana Mahakama ya Kadhi

Waziri Mkuu, Mizengo PindaBAADA ya kutokea kutoelewana miongoni mwa wabunge juu ya marekebisho ya muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuna haja ya Serikali kutafakari upya kuhusu suala hilo kabla ya kuliwasilisha bungeni.

 

10 years ago

Mtanzania

Mahakama ya Kadhi yawavuruga wabunge

Na Debora Sanja na Fredy Azzah, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana nusura wazichape kavukavu baada ya kutofautiana juu ya uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi.
Hali hiyo ilijitokeza wakati wabunge hao wakiwa katika semina iliyohusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, ambapo miongoni mwa sheria zilizomo ndani yake ni pamoja na ile ya Mahakama ya Kadhi.
Sakati hilo lilitokea katika semina kuhusu muswada huo unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni keshokutwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi yawagawa wabunge

MAHAKAMA ya Kadhi imetikisa mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba jana. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya wajumbe ambao walipata fursa ya kuchangia waliendelea kuwashawishi wenzao wakubali mahakama hiyo iingizwe kwenye Katiba kwani ni chombo muhimu kwa waumini wa dini ya Kiislamu.

 

11 years ago

Mwananchi

WASALITI: Wajiandae kuwa ‘wabunge wa mahakama’

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa wabunge wote walio wanachama wake, lakini wanakiuka msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuingia katika Bunge la Katiba, wajiandae kuongeza idadi ya ‘wabunge wa mahakama’.

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAKAGUA MAHAKAMA YA MWANZO NGERENGERE


 Muonekano wa jengo jipya la Mahakama ya Mwanzo ya Ngerengere, lililopo katika Wilaya ya Morogoro, ambalo linatarajiwa kuanza kutumika rasmi Aprili 15, mwaka huu. Muonekano wa jengo jipya la Mahakama ya Mwanzo ya Ngerengere, lililopo katika Wilaya ya Morogoro (kulia) linalotarajiwa kuanza kutumika rasmi Aprili 15, mwaka huu  na (kushoto) ni jengo linalotumika  sasa na  mahakama hiyo. Wajumbe wa Kamati ya  Bunge ya Kudumu ya Katiba na Sheria  wakitoka kukagua leo  jengo la sasa la Mahakama ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wawe wamoja mijadala kuhusu Ripoti ya CAG, Mahakama ya Kadhi

Bunge jana lilianza mkutano wake wa 18 mjini Dodoma likiwa na masuala mengi mazito katika ajenda yanayopaswa kujadiliwa katika muda mfupi tu wa wiki mbili. Hicho ni kikao chake cha kwanza mwaka huu, ambacho kinakuja baada ya mkutano wake wa 16/17 uliofanyika Novemba mwaka jana na kugubikwa na mjadala mkali kuhusu uchotwaji wa fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow. Baadhi ya watendaji serikalini wamefikishwa mahakamani, huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa Serikali wakijiuzulu.

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaondoa gundu

SIMBA jana ilianza mwaka mpya kwa kuondoa gundu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini, kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara dhidi ya Ndanda ya huko.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaondoa marufuku ya Gambia

CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani