Mahakama yaondoa kinga ya wabunge
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imefungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dKfI1FkFCRw/Xn4nRNP6kfI/AAAAAAALlVI/e6baoVGoscsPUN9fpfK5vVyJk1Cu0yFRACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_120911_3.jpg)
MAHAKAMA IRINGA YAONDOA ZUIO LA KUPINGA MCHAKATO WA MADIWANI KUMNG'OA MEYA ALEX KIMBE NAFASI YAKE KWA TUHUMA MBALIMBALI
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Iringa imeondoa mahakamani hapo shauri dogo namba 5 la mwaka 2020 lililofikishwa katika mahakama hiyo na mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) Alex Kimbe ya kupinga mchakato wa madiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) kutoka kumung'oa katika nafasi yake ya umeya kwa tuhuma mbali mbali zikiwemo za matumizi mabaya ya madaraka.
Akisoma hukumu ya kesi hiyo...
10 years ago
Habarileo30 Mar
Wabunge wavurugana Mahakama ya Kadhi
BAADA ya kutokea kutoelewana miongoni mwa wabunge juu ya marekebisho ya muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuna haja ya Serikali kutafakari upya kuhusu suala hilo kabla ya kuliwasilisha bungeni.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Mahakama ya Kadhi yawavuruga wabunge
Na Debora Sanja na Fredy Azzah, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana nusura wazichape kavukavu baada ya kutofautiana juu ya uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi.
Hali hiyo ilijitokeza wakati wabunge hao wakiwa katika semina iliyohusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, ambapo miongoni mwa sheria zilizomo ndani yake ni pamoja na ile ya Mahakama ya Kadhi.
Sakati hilo lilitokea katika semina kuhusu muswada huo unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni keshokutwa...
10 years ago
Habarileo10 Sep
Mahakama ya Kadhi yawagawa wabunge
MAHAKAMA ya Kadhi imetikisa mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba jana. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya wajumbe ambao walipata fursa ya kuchangia waliendelea kuwashawishi wenzao wakubali mahakama hiyo iingizwe kwenye Katiba kwani ni chombo muhimu kwa waumini wa dini ya Kiislamu.
11 years ago
Mwananchi09 Aug
WASALITI: Wajiandae kuwa ‘wabunge wa mahakama’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
WABUNGE WAKAGUA MAHAKAMA YA MWANZO NGERENGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y688AxfWDI0/Xm-SJgiO4CI/AAAAAAAC8ps/152gI_KdsRwV6x2ta9kW3TJL8eSvkMwEgCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6978.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6_d-GDxXr4/Xm-SN-0H_KI/AAAAAAAC8p0/IRlJ--B-9BUGg_JMXyf_x8VQqzMDRnaAwCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6992.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wabunge wawe wamoja mijadala kuhusu Ripoti ya CAG, Mahakama ya Kadhi
9 years ago
Habarileo02 Jan
Simba yaondoa gundu
SIMBA jana ilianza mwaka mpya kwa kuondoa gundu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini, kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara dhidi ya Ndanda ya huko.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
CAF yaondoa marufuku ya Gambia