WASALITI: Wajiandae kuwa ‘wabunge wa mahakama’
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa wabunge wote walio wanachama wake, lakini wanakiuka msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuingia katika Bunge la Katiba, wajiandae kuongeza idadi ya ‘wabunge wa mahakama’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Sep
Mahakama ya Kadhi yawagawa wabunge
MAHAKAMA ya Kadhi imetikisa mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba jana. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya wajumbe ambao walipata fursa ya kuchangia waliendelea kuwashawishi wenzao wakubali mahakama hiyo iingizwe kwenye Katiba kwani ni chombo muhimu kwa waumini wa dini ya Kiislamu.
10 years ago
Habarileo30 Mar
Wabunge wavurugana Mahakama ya Kadhi
BAADA ya kutokea kutoelewana miongoni mwa wabunge juu ya marekebisho ya muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuna haja ya Serikali kutafakari upya kuhusu suala hilo kabla ya kuliwasilisha bungeni.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Mahakama ya Kadhi yawavuruga wabunge
Na Debora Sanja na Fredy Azzah, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana nusura wazichape kavukavu baada ya kutofautiana juu ya uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi.
Hali hiyo ilijitokeza wakati wabunge hao wakiwa katika semina iliyohusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, ambapo miongoni mwa sheria zilizomo ndani yake ni pamoja na ile ya Mahakama ya Kadhi.
Sakati hilo lilitokea katika semina kuhusu muswada huo unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni keshokutwa...
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Mahakama yaondoa kinga ya wabunge
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
WABUNGE WAKAGUA MAHAKAMA YA MWANZO NGERENGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y688AxfWDI0/Xm-SJgiO4CI/AAAAAAAC8ps/152gI_KdsRwV6x2ta9kW3TJL8eSvkMwEgCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6978.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6_d-GDxXr4/Xm-SN-0H_KI/AAAAAAAC8p0/IRlJ--B-9BUGg_JMXyf_x8VQqzMDRnaAwCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6992.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wabunge wawe wamoja mijadala kuhusu Ripoti ya CAG, Mahakama ya Kadhi
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
‘Watanzania wajiandae uchumi wa gesi’
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewataka Watanzania kujiandaa na uchumi wa gesi kwani mradi huo utakapokamilika utaleta mageuzi makubwa nchini. Kauli hiyo aliitoa mwishoni mwa wiki mkoani...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wabunge watakiwa kuwa wazalendo
CHAMA cha Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wazalendo wa kuzipigania tunu za...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Ukawa: CCM wajiandae kwa anguko 2015