Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AVUNJIKA MIGUU MARA NNE ZAHITAJIKA MILLION 15 KUMUOKOA

Kumbis akiwa hospitalini. Sehemu ya miguu iliyovunjika. MZEE Mohamed Kumbis Said (60) mkazi wa Vingunguti Dar, amejikuta akiishi maisha ya kuombaomba baada ya kupata ajali na kuvunjika miguu yake…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA


Mkuu wa shule ya Sekondari ya Canosa sister Irine Nakamanya akipokea cheti cha pongezi kwa shule hiyo kufanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne na pili.Wanafunzi na walimu waliokuwa katika hafla ya kupongezwa kwa kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne na cha pili mwaka 2019. Hafla hiyo imeandaliwa na Idara ya elimu Sekondari.

 

9 years ago

Bongo Movies

Kwa Mara ya Kwanza Wastara Aonyesha Miguu Yake na Kuandika Mazito

Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kama unavyoiona pic
Huyo ndio wastara nilivyo hakuna kilichopungua zaidi ya hicho unachokiona
Kuwa mlemavu ni kitu kingine tofauti ukiwa mzima hivyo kusikia maumivu na kuumwa mguu ni kitu cha kawaida
Sasa nipo nairobi kimatibabu na tatizo ni operetion ya kwanza nilikosewa ndio sababu ya maumivu ya mara kwa mara madaktari wameshajua nini cha...

 

9 years ago

MillardAyo

Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)

Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]

The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe akwama kwa mara ya nne kufika mahakamani

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana alikwama kwa mara ya nne mfululizo kufika katika Mahakama ya Wilaya ya Hai kutoa utetezi wake kwenye kesi inayomkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

Mbowe anadaiwa kumshambulia mwangalizi huyo, Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, Kata ya Machame Kusini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimnajaro mwaka 2010.

Jana Mbowe alitakiwa kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Mfawidhi...

 

11 years ago

Daily News

TASAF phase three to benefit 1.2 million vulnerable households in Mara Region


Daily News
TASAF phase three to benefit 1.2 million vulnerable households in Mara Region
Daily News
TARIME Member of Parliament Mr Nyambari Nyangwine has urged officials here to ensure that implementation of Tanzania Action Social Trust Fund (TASAF) phase three benefits most vulnerable families. The MP said it will be unfair to list people with good ...

 

10 years ago

Bongo5

Nicole Scherzinger na Lewis Hamilton waachana kwa mara ya nne!

Nicole Scherzinger ameachana na mpenzi wake Lewis Hamilton kwa mara ya nne. Muimbaji huyo mwenye umri wa miaka 36 ameachana na mshindi huyo wa mashindano ya magari ya Formula One, 30, kutokana na uhusiano kuwa wa mbali (Long-distance relationship). Nicole anadaiwa kuumizwa mno na hatua hiyo. Wawili hao waliokuwa na uhusiano kwa miaka saba wanaachana […]

 

10 years ago

Vijimambo

YAYA TOURE NDIYO MBABE WA SOKA AFRIKA KWA MARA YA NNE

Yaya Tourekiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na...

 

9 years ago

StarTV

Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati

Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.

Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.

Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.

Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.

Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani