Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY na Diamond waungana kwenye remix ya Zigo

12345912_1111893075502144_366327264_n

Siku hizi watu wanafanya mambo kimya kimya! Inaonekana kuwa AY amemjumuisha Diamond Platnumz kwenye remix ya hit single yake, Zigo na tayari wanafanya video nchini Afrika Kusini.

12345912_1111893075502144_366327264_n

AY na Diamond hawajasema kitu. Lakini kampuni inayotengeneza video yake imeumwaga ubuyu kwenye Instagram. Kampuni hiyo iitwayo Studio Space Pictures ya Afrika Kusini, imeweka picha hiyo juu ya wakali hao na kuandika: Earlier today with @aytanzania @ @diamondplatnumz #ZigoRemix #studiospacepictures.”

Haijulikani...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: AY — Zigo ( Dj Jors Bless Remix)

Wakati ambapo mashabiki wanasubiria kwa hamu video ya hit ya AY, Zigo, DJ Jors Bless wa Times FM ametuletea remix ya hip hop ya ngoma hiyo. Isikilize hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali […]

 

10 years ago

Bongo5

Navy Kenzo na Shaa waungana na Diamond kwenye ‘Africa Rox Countdown’ ya Sound City

Kundi la Navy Kenzo na Shaa wameungana na Diamond Platnumz kwenye chart za Africa Rox Countdown zinazorushwa na kituo maarufu cha runinga cha Sound City cha nchini Nigeria. Hiyo ina maanisha kuwa Tanzania ni nchi pekee yenye wasanii wengi katika chart hizo. Navy Kenzo wameingia kwenye chart hiyo inayozikutanisha nyimbo 10 zinazofanya vizuri zaidi barani […]

 

9 years ago

Global Publishers

Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond


Ali mkiba jokate na wema (2)Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.

Na Musa Mateja
WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo wamedaiwa kuungana pamoja kumsapoti staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ ili kumfunika mpenzi wao wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Ali mkiba jokate na wema (1)Wema na Jokate ambao kwa nyakati tofauti waliwahi kulitumikia penzi la Diamond, Desemba 26, mwaka huu walipanda kwenye jukwaa la Kiba na kuanza kuonyesha uwezo wao wa...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

WASANII WAUNGANA NA MABESTE KWENYE SHOO YA KUMCHANGIA MKEWE

Msanii Mabeste akiwapagawisha mashabiki. Msanii wa muziki, Bob Junior akifanya yake jukwaani. Mdada akipagawa na wimbo wa msanii Shebby Love (kushoto).…

 

11 years ago

Habarileo

Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo

KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.

 

11 years ago

GPL

YAYA TOURE, D'BANJ WAUNGANA NA KIKWETE KWENYE KILIMO

Rais Jakaya Kikwete. KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure. Hiyo ni baada ya D’Banj kushirikiana na washirika wa Kilimo wa Afrika katika uzinduzi wa kampeni ya 'Shiriki Kilimo' (Do Agric) kwenye kongamano la Umoja wa Afrika. Kampeni hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani