AY na Diamond waungana kwenye remix ya Zigo
Siku hizi watu wanafanya mambo kimya kimya! Inaonekana kuwa AY amemjumuisha Diamond Platnumz kwenye remix ya hit single yake, Zigo na tayari wanafanya video nchini Afrika Kusini.
AY na Diamond hawajasema kitu. Lakini kampuni inayotengeneza video yake imeumwaga ubuyu kwenye Instagram. Kampuni hiyo iitwayo Studio Space Pictures ya Afrika Kusini, imeweka picha hiyo juu ya wakali hao na kuandika: Earlier today with @aytanzania @ @diamondplatnumz #ZigoRemix #studiospacepictures.”
Haijulikani...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Sep
New Music: AY — Zigo ( Dj Jors Bless Remix)
10 years ago
Bongo518 Jan
Navy Kenzo na Shaa waungana na Diamond kwenye ‘Africa Rox Countdown’ ya Sound City
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond
Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
Na Musa Mateja
WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo wamedaiwa kuungana pamoja kumsapoti staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ ili kumfunika mpenzi wao wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Wema na Jokate ambao kwa nyakati tofauti waliwahi kulitumikia penzi la Diamond, Desemba 26, mwaka huu walipanda kwenye jukwaa la Kiba na kuanza kuonyesha uwezo wao wa...
11 years ago
GPL23 Jun
11 years ago
GPL10 years ago
GPLWASANII WAUNGANA NA MABESTE KWENYE SHOO YA KUMCHANGIA MKEWE
11 years ago
Habarileo30 Jan
Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo
KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0vVPw0VlXmcdOAWT6zD9O15WmSUYZGIwxMwVz5zfhSi4lxiCs4FDLcf5XQJyXi-1NowpBEVKy-a8W7BtnNPMrQ/IMG_2090.jpg?width=650)
YAYA TOURE, D'BANJ WAUNGANA NA KIKWETE KWENYE KILIMO
11 years ago
GPL06 Jan