Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAM FC YAICHAPA 2-0 MALAIKA YA SUDAN KUSINI

Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocc akimtoka beki wa Malaika ya Sudan katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-0. (Picha na Francis Dande)mchezji wa Azam FC, Shah Farid Mussa akimtoka beki wa Malaika, David Stephen. Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akiwatoka wachezaji wa timu ya Malaika katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akiwania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAICHAPA 2-0 MALAIKA YA SUDAN KUSIN

Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocc akimtoka beki wa Malaika ya Sudan katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-0. (Picha na Francis Dande)mchezji wa Azam FC, Shah Farid Mussa akimtoka beki wa Malaika, David Stephen. Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akiwatoka wachezaji wa timu ya Malaika katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
 Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akiwania...

 

9 years ago

BBCSwahili

CECAFA: Malawi yaichapa Sudan.

Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP inaendelea kushika kasi huko Ethiopia, huku Malawi ikiifunga Sudan 2-1.

 

10 years ago

GPL

YANGA YAICHAPA AZAM 3-0, YATWAA NGAO YA JAMII

KIKOSI cha Yanga SC kimetwaa Ngao ya Jamii baada ya kuichapa timu ya Azam FC mabao 3-0 katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi punde. Mabao ya Yanga yamefungwa na Geilson Santos 'Jaja' dakika ya 56 na 66 huku bao la tatu likiwekwa kimiani na Simon Msuva dakika ya 87 ya mchezo. Hii ni mara ya pili Yanga kuifunga Azam katika mechi za Ngao ya Jamii baada ya msimu uliopita watoto wa Jangwani kuibuka na...

 

10 years ago

Michuzi

Azam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2


Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar akimiliki mpira.
 Frank Domayo (shoto) akichuana na beki wa Kagera Sugar, Mussa Nampaka.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo.
Kipre Tchetche akimiliki mpira.
 Frank Domayo akishangilia bao lake.

 

11 years ago

Michuzi

MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba

With salams and jambo from IZAAS Medical Project in Bukoba, "All good times come to an end...It was time to leave", Said Dr Schaeffer while singing the song, MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA  The photos of Zulfa before and after shows what type of miracles Dr Schaeffer can do.   Brother Ansarali Hemraj generously donated 17 cartoons of wheel chairs, crunches elbow sticks and walkers, he even donated $ 1200 for heir ttransport from Dubai to Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maslahi ya UG, Sudan Kusini

Serikali ya Uganda imekiri kuwapeleka wanajeshi wake kusaidia wanajeshi wa Sudan kupambana na waasi wa Riek Machar

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani