Azam FC yamtesa Pluijm
MSHAMU NGOJWIKE, MORO NA RODRICK NGOWI, MWANZA
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amesema Azam FC ndio timu inayomuumiza kichwa kwa sasa kutokana na wote kuwa na pointi 15 kileleni.
Pluijm alitoa kauli hiyo juzi kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro alipoichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 na kuvunja uteja wa Yanga kutoifunga Mtibwa Sugar mkoani humo ndani ya miaka mitano.
“Lakini kwa sasa nazifikiria mechi zijazo, tunacheza na African Sports na baadaye Azam FC ambayo ndiyo mechi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen19 Oct
Pluijm: We had every reason to beat Azam
9 years ago
Habarileo13 Nov
Azam FC yafuta mapumziko ya Pluijm
KOCHA wa timu ya soka ya Yanga, Hans van der Pluijm amesema ameamua kutokwenda mapumzikoni nchini Ghana kwa sababu ya kuandaa programu muhimu ambazo anaamini ndizo zitakazoisaidia timu yake kutetea ubingwa wao msimu huu.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Maruhani yamtesa Batuli
NYOTA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kila aingiapo kwenye kazi ya kurekodi filamu, anapatwa na tatizo la kupandisha maruhani (mashetani), jambo ambalo linamkosesha raha. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPLMAPENZI YAMTESA MLELA
11 years ago
Tanzania Daima24 May
UKAWA: Makundi ya urais yamtesa JK
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), unaoundwa na vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi, umesema kuwa Rais Jakaya Kikwete anayumbisha nchi katika mchakato unaoendelea wa kuandikwa kwa katiba mpya kutokana...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Presha ya uchaguzi yamtesa Dk Kamala
10 years ago
GPLKANSA YAMTESA BABA DIAMOND
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Homa ya mechi yamtesa Goran