Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Presha ya uchaguzi yamtesa Dk Kamala

Mgombea ubunge wa CCM katika Jimbo la Nkenge, Dk Diodorus Kamala amesema uchaguzi wa mwaka huu lazima viongozi wa chama hicho wawe makini kuweka mawakala wa kusimamia kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Presha’ ya uchaguzi, ahadi zawatorosha wabunge Dodoma

Baadhi ya wabunge wamesema kukosekana bungeni kwa wenzao wanaofikia 200 hata kuhesabiwa ni watoro, kumetokana na wengi wao kutokamilisha ahadi kwa wapigakura wao walizotoa mwaka 2010, hivyo kulazimika kukimbilia majimboni ili kujaribu kuzikamilisha.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AANZISHA MFUKO WA "Dr. KAMALA AWARD FUND"


Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na baadhi ya Wahitimu wa Kituo cha Chekechea cha Florence cha Kigogo Dar es salaam.Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala  akizungumza katika Mahafari ya Kituo cha Chekechea cha Florence yaliyofanyika Kigogo Dar es salaam. Watoto mia moja wamehitimu katika Kituo hicho na wote wamejifunza na kuelewa  kusoma na kuandika.
Balozi Kamala amewashukuru Bwana na Bibi Mbezi kwa kuanzisha kituo hicho. Aidha,...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YAMTESA MLELA

Na Rhoda Josiah
STAA wa sinema za Kibongo, Yusuf Mlela amesema kuwa hahitaji mwanamke kwa sasa kutokana na wanawake wengi aliokuwanao kuwa waongo. Staa wa sinema za Kibongo, Yusuf Mlela. Akipiga stori na mwandishi wetu, Mlela ambaye ni baba wa mtoto mmoja, alisema hahitaji mwanamke wa aina yeyote kwani wengi wao walimtesa kipindi cha nyuma. “Kwa sasa mwanamke wangu ni pesa tu na kazi yangu ya sanaa na kuwaza juu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maruhani yamtesa Batuli

NYOTA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kila aingiapo kwenye kazi ya kurekodi filamu, anapatwa na tatizo la kupandisha maruhani (mashetani), jambo ambalo linamkosesha raha. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

Azam FC yamtesa Pluijm

IMG_2749MSHAMU NGOJWIKE, MORO NA RODRICK NGOWI, MWANZA

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amesema Azam FC ndio timu inayomuumiza kichwa kwa sasa kutokana na wote kuwa na pointi 15 kileleni.

Pluijm alitoa kauli hiyo juzi kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro alipoichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 na kuvunja uteja wa Yanga kutoifunga Mtibwa Sugar mkoani humo ndani ya miaka mitano.

“Lakini kwa sasa nazifikiria mechi zijazo, tunacheza na African Sports na baadaye Azam FC ambayo ndiyo mechi...

 

10 years ago

GPL

VIDEO YA MAUNO YAMTESA AMANDA

Gladness Mallya
VIDEO inayomuonyesha msichana anayefanana kwa sura na umbo na staa wa filamu, Amanda Poshi, imemfanya msanii huyo ajikute katika mateso makubwa kisaikolojia, kwani wengi wanaamini ni yeye. Staa wa filamu za kibongo, Amanda Poshi. Akizungumza na gazeti hili, Amanda alisema ameumizwa sana na video hiyo ambapo mwanamke huyo anakata mauno ya haja kwani imesambaa sehemu mbalimbali kiasi cha baadhi ya watu kuwapigia...

 

10 years ago

GPL

KANSA YAMTESA BABA DIAMOND

Gladness mallya na erick evaristINASIKITISHA! Wakati mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiendelea vizuri baada ya matibabu nchini India, naye baba wa jamaa huyo, Abdul Jumaa ‘Baba D’ anateswa na kansa ya ngozi huku mwanaye huyo akiwa hana habari naye. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1fRE3iI ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Makundi ya urais yamtesa JK

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), unaoundwa na vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi, umesema kuwa Rais Jakaya Kikwete anayumbisha nchi katika mchakato unaoendelea wa kuandikwa kwa katiba mpya kutokana...

 

10 years ago

Mwananchi

Homa ya mechi yamtesa Goran

Kocha wa Simba Goran Kopunovic ni kama ana wasiwasi mkubwa na mechi hiyo ambayo yeye ni mara yake ya kwanza kukutana na Yanga tangu achukue mikoba ya kuifundisha timu hiyo kutoka kwa Patrick Phiri aliyesitishiwa ajira yake kutokana na mwenendo mbovu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani