Homa ya mechi yamtesa Goran
Kocha wa Simba Goran Kopunovic ni kama ana wasiwasi mkubwa na mechi hiyo ambayo yeye ni mara yake ya kwanza kukutana na Yanga tangu achukue mikoba ya kuifundisha timu hiyo kutoka kwa Patrick Phiri aliyesitishiwa ajira yake kutokana na mwenendo mbovu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Mar
WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.
![SIMBA V YANGA 8](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/SIMBA-V-YANGA-8.gif)
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Azam FC yamtesa Pluijm
MSHAMU NGOJWIKE, MORO NA RODRICK NGOWI, MWANZA
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amesema Azam FC ndio timu inayomuumiza kichwa kwa sasa kutokana na wote kuwa na pointi 15 kileleni.
Pluijm alitoa kauli hiyo juzi kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro alipoichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 na kuvunja uteja wa Yanga kutoifunga Mtibwa Sugar mkoani humo ndani ya miaka mitano.
“Lakini kwa sasa nazifikiria mechi zijazo, tunacheza na African Sports na baadaye Azam FC ambayo ndiyo mechi...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Maruhani yamtesa Batuli
NYOTA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kila aingiapo kwenye kazi ya kurekodi filamu, anapatwa na tatizo la kupandisha maruhani (mashetani), jambo ambalo linamkosesha raha. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxabn0rUAW7aEaWDXztYqW9kvHqALw2w89CLwT0--bQ4bYIbck6xj8LZNvVOQBDt8PsRSkUi*HE1aKwZALSbM183/mlela.jpg?width=650)
MAPENZI YAMTESA MLELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWTJZWZIIrs25VeGyC*7uqWsKrTrY*VGw0h5uFIEgo4kqPOHidagKgUQb4FelpmDeAeb7yFrFJhKSMzRVSuA1x5/FRONTRISASIJMOSI.gif?width=650)
KANSA YAMTESA BABA DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AeoMEAVJumNNktIBTmUcsLvcmbPTmGyHLnWFstogeQoZKpQvWJL5n5HvTw0jG2dILgEkJRj8KSQrqBkPGbzmMZh/amanda.jpg?width=650)
VIDEO YA MAUNO YAMTESA AMANDA
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Presha ya uchaguzi yamtesa Dk Kamala
11 years ago
Tanzania Daima24 May
UKAWA: Makundi ya urais yamtesa JK
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), unaoundwa na vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi, umesema kuwa Rais Jakaya Kikwete anayumbisha nchi katika mchakato unaoendelea wa kuandikwa kwa katiba mpya kutokana...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Goran aiombea mabaya Azam