Goran aiombea mabaya Azam
Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amesema anahitaji kushinda mechi tatu mfululizo ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kumalizakatika nafasi ya pili msimu huu wa Ligi Kuu Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Neto wa Mgambo aiombea mabaya Yanga
10 years ago
Mtanzania13 Sep
Sitta aiombea Ukawa dua mbaya
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Maregesi Paul, Dodoma
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni sawa na waigizaji wa nchini Marekani.
Amesema ushahidi wa uigizaji huo utadhihirika mwakani baada ya kushindwa kwao katika uchaguzi mkuu wa kumchagua rais, wabunge na madiwani.
Sitta alitoa kauli hiyo yenye kila dalili za kuwaombea anguko kubwa wanasiasa wa...
11 years ago
Habarileo12 May
Mrema aiombea heri ndoa ya Chadema, CUF, NCCR
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema kilipounda baraza lake mwaka 2010.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Homa ya mechi yamtesa Goran
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Kerr amrithi Goran Simba
10 years ago
Mtanzania14 May
Sita wataka kumrithi Goran Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAKATI Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic akiendelea kung’ang’ania kuongezewa dau na uongozi wa klabu hiyo, tayari makocha sita wametuma maombi ya kuchukua nafasi yake endapo klabu hiyo itashindwa kufikia dau lake.
Goran bado ameendelea na msimamo wake akitaka kulipwa mshahara wa Sh milioni 28, ambapo uongozi wa Simba umedai kuwa kiasi hicho ni kikubwa na kumtaka hadi kesho awe ametoa jibu kama ataweza kukipunguza.
Habari za uhakika ilizozipata MTANZANIA,...
10 years ago
Mwananchi18 May
MASLAHI: Goran aishangaa Simba kumtosa
10 years ago
Mwananchi14 May
Dau la Goran laitoa jasho Simba