Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta aiombea Ukawa dua mbaya

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Maregesi Paul, Dodoma

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni sawa na waigizaji wa nchini Marekani.

Amesema ushahidi wa uigizaji huo utadhihirika mwakani baada ya kushindwa kwao katika uchaguzi mkuu wa kumchagua rais, wabunge na madiwani.

Sitta alitoa kauli hiyo yenye kila dalili za kuwaombea anguko kubwa wanasiasa wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam

Adui yako mwombee njaa! Ndivyo ilivyo kwa kocha wa Simba, Dylan Kerr aliposhangilia sare ya 1-1 baina ya Yanga na Azam juzi akisema imenogesha mbio zake kusaka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

10 years ago

Vijimambo

HALI YA MBUNGE WA UKAWA HIGHNESS KIWIA NI MBAYA

HALI ya Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia (CHADEMA), imeelezwa kuwa mbaya kutokana na kushindwa kupumua kwa kutumia pua na badala yake anatumia mdomo kitendo ambacho ni hatari.Taarifa hiyo imetolewa jana na Kiongozi wa Operesheni Kanda ya Ziwa Magharibi, Tungaraza Njugu, wakati Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), wakitoa tamko juu ya Polisi kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuhatarisha amani ya nchi.Kiwia, alisafirishwa kwenda India usiku wa Septemba 28 mwaka huu,kwa ajili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta sasa ‘ametangaza rasmi vita’ dhidi ya viongozi wa dini kwa kusisitiza kuwa hayuko tayari kuwaheshimu wala kuwavumilia ambao wanatoa nyaraka alizodai kuwa hazina utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa waumini wao.

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...

 

10 years ago

Habarileo

Sitta apuuza maoni ya Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji nchini, Huruma Ole Kalaita (kulia) akiwa na ujumbe wa wanachama 44 wa chama hicho mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (katikati) walipomtembelea bungeni Dodoma jana kutoa maoni yao ya uboreshaji wa mapendekezo ya Katiba. Kushoto ni mlezi wa chama hicho, John Shibuda. (Na Mpigapicha Wetu).MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepuuza maoni ya viongozi wa wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutaka Bunge hilo lisitishwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aifuata Ukawa Z’bar

Wakati viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima visiwani humo akikutana na baadhi ya viongozi wa Serikali, katika kile kinachotafsiriwa kuwa kulinusuru Bunge hilo.

 

11 years ago

TheCitizen

CA to continue without Ukawa, says Sitta team

>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.

 

10 years ago

Mtanzania

Jinamizi la Ukawa lamtesa Sitta

1...1..1.NA SARAH MOSSI, DODOMA
MAKADA wengine watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Titus Kamani nao wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya urais.
Kujitosa kwa wanasiasa hao katika kinyang’anyiro hicho kunaifanya idadi ya makada wa chama hicho waliochukua fomu kufikia 13 hadi kufikia jana.

SITTA
Sitta, ambaye ni Waziri wa Uchukuzi, ndiye aliyekuwa wa pili kuchukua fomu hiyo kwa siku ya jana, akitanguliwa na Profesa Sospeter...

 

10 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wamtia Sitta kitanzani

Mtanzania 10092014NA RACHEL MRISHO, DODOMA

UAMUZI uliofikiwa na viongozi wa vyama vya siasa na Rais Jakaya Kikwete umemweka katika wakati mgumu Mwenyeki wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuahirisha au la vikao vya Bunge hilo.

Hii inafuatia Rais Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana kusitisha Bunge la Katiba Oktoba 4 tofauti na ratiba ya Sitta ambayo inaonyesha vikao vitaendelea hadi Oktoba 31 atakapomkabidhi rais katiba iliyopendekezwa.

Vilevile kwa tafsiri ya uamuzi...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta- Ukawa waje tuzungumze

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaotoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliotoka bungeni juzi jioni wamepanga kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar kesho, kwa kile walichodai ni kuwaeleza wananchi ukweli wa mambo yanayojiri katika Bunge linaloendelea hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani