Azam yadhamini maonesho makubwa ya Keki Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, Marion Elias (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya keki yanayotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan wadhamini wa maonesho hayo.
Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Washindi wa Maonesho ya Keki Wapatikana Dar
![Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0712.jpg)
![Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0701.jpg)
![Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0638.jpg)
![Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) katika maonesho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0760.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Tigo yadhamini maonesho ya kuinua tasnia ya filamu
Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini wa Tigo, Bw. David Charles akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa maonesho ya filamu za Kiafrika Arusha (AAFF) yatakayofanyika Septemba 20 mpaka 27 jijini Arusha. Kushoto kwake Meneja wa maonesho ya AAFF, Bi. Mary Birdi.
Tigo Tanzania leo imetangaza udhamini wake kwa maonesho ya filamu barani Afrika yatakayofanyika mkoani Arusha kuanzia Jumamosi wiki hii. Maonesho hayo ya wiki moja yanayojulikana...
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Tigo yadhamini maonesho ya Tehema kwa vijana, Viwanja vya Posta
Ofisa kutoka mradi wa Data Huru ulio chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Daudi Fufuji akitoa maelekezo kuhusiana na namna ambavyo mradi huo unafanya kazi, maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.
Wadau kutoka Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani, Goethe Institute wakiwa kwenye maonesho hayo.
Baadhi ya mabanda ambayo wadau mbalimbali wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walihudhuria.
Wanafunzi wa Chuo cha A3 Institute wakionesha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s72-c/Saba_Crowd1.jpg)
MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (44th DITF) KUANZA JULAI 1 – 13, 2020 KATIKA UWANJA WA MAONESHO WA MWL. J.K. NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s640/Saba_Crowd1.jpg)
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wakazi Dar wakusanywa kujifunza batiki, keki
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i6H1b8AlbiY/VWtMh5zTC0I/AAAAAAAAsl0/V_Kz4_Nfjyw/s72-c/IMG-20150531-WA004.jpg)
TBL yadhamini Bonanza la Michezo jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-i6H1b8AlbiY/VWtMh5zTC0I/AAAAAAAAsl0/V_Kz4_Nfjyw/s640/IMG-20150531-WA004.jpg)
Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kushoto) akikabidhi sehemu ya jezi kwa Bw. Hamis Mwango, zilizotumiwa na timu mbali mbali zilizoshiriki kwenye Bonanza la Michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yaYvlUiG7vM/VWtMiC7yfII/AAAAAAAAsl8/UxRom_bj8cg/s640/IMG-20150531-WA005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zay-EB91uWA/VWtMiLYByfI/AAAAAAAAsl4/dkwHQwCzM7U/s640/IMG-20150531-WA003.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar
Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.
Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...
5 years ago
MichuziMITANDAO YA KIJAMII YAZIDI KUONGEZA WIGO WA AJIRA KWA VIJANA,'APP' YA BIDHAA YA KEKI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Melisa Lilian Ringo wakati akizindua App kwa ajili ya Keki iliyofanyika leo, jijini Dar es Salaam.
Ringo amesema kuwa watu wanaohitaji Keki watakwenda kwenye mtandao na kufungua 'Melisa Cake' na kuchagua aina mbalimbali za Keki.Amesema mteja akiingia katika App hiyo atachagua Keki aitakayo baada ya hapo ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e217tcucHMI/VXhOAUZDscI/AAAAAAAHeeY/GH4vx2dKfuY/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
BENKI YA CRDB YADHAMINI TAMASHA LA MICHEZO NA AFYA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-e217tcucHMI/VXhOAUZDscI/AAAAAAAHeeY/GH4vx2dKfuY/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)