Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washindi wa Maonesho ya Keki Wapatikana Dar

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) katika maonesho hayo.Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Washindi wa maonesho ya cake wapatikana Dar

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakipita kuangalia keki.

Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.

Majaji wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.

IMG_0638

 

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakipita kuangalia keki.

Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) katika maonesho hayo.

Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’...

 

10 years ago

Michuzi

Azam yadhamini maonesho makubwa ya Keki Dar

Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, Marion Elias (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya keki yanayotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan wazamini wa maonesho hayo. Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, Marion Elias (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya keki yanayotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan wadhamini wa maonesho hayo.Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya keki yanayotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, Marion Elias. Mratibu wa Matangazo na Uhusiano wa Umma wa kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maonesho makubwa ya...

 

10 years ago

Michuzi

washindi wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” wapatikana jijini dar

 Mshindi wakwanza wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” Laurent Dyanko kutoka chou kikuu cha kilimo, Sokoine University of Agriculture (SUA) akikabidhiwa zawadi wa shilingi milioni moja na cheti cha ushindi  Mshindi wapili wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” George Firimini kutoka chuo cha usimaniza wa fedha, Institute of Finance Management (IFM) akikabidhiwa zawadi wa shilingi laki sita na cheti cha ushindi  Mshindi watatu wa shindano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washindi wa Keki Bora wazawadiwa

MAKUNDI yaliyoshinda katika shindano la kutengeneza keki bora yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, yametangazwa huku vigezo vikiwa ni ubora katika utengenezaji, ubunifu na radha. Kupitia maonesho hayo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Washindi wa Tuzo za CNN wapatikana

PIX 1A

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wageni waalikwa (hawako pichani) wakati wa hafla ya kutoa tuzo za waandishi bora Afrika 2014 zilizofanyika siku ya tarehe 18 Oktoba mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, tuzo ambazo zinatolewa na CNN Multi choice.

Na Benedict Liwenga, Maelezo.

TUZO za waandishi bora wa Afrika 2014 zinazotolewa na CNN Multi Choice zimetolewa rasmi siku ya tarehe 18 Oktoba mwaka huu ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI WA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM WAPATIKANA

 Hatimaye Washindi wa shindano la Shika Ndinga la 93.7 EFM wamepatikana baada ya mchuano mkali uliofanyika jana Aprili 25, 2015 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam.  Fainali hiyo iliwahusisha washiriki 10 kutoka katika wilaya zote tatu za mkoa wa Dar-es-salaam watano kati yao wakiwa wanawake watano wakiwa ni wanaume. Shindano hilo lilihudhuriwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadik akiwa kama mgeni rasmi, Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mhe....

 

10 years ago

Michuzi

Washindi bora wa ubunifu wa program za simu wapatikana

Mshindi wa shindano la kutafuta vipaji vya ugunduzi wa program za simu la AppyStar lililoandaliwa na Vodacom Tanzania Bw.Roman Mbwasi(kushoto)akimsikiliza jambo Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Abigail Ambweni(kulia)alipotembelea makao makuu ya mtandao huo uliopo Mlimani City jijini Dares Salaam,Mshindi huyu amejinyakulia zawadi ya shilingi milioni 2 na atakwenda Bangalore nchini India kushiriki katika awamu ya pili ya shindano hili ngazi ya kimataifa litakalofanyika Januari...

 

9 years ago

Global Publishers

Washindi 16 wapatikana katika droo ya Airtel Mkwanjika

Pic 1Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akiongea na moja ya washindi kupitia simu ya mkononi wakati wa kuendesha droo ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 16 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Bwana Abdallah Hemed na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma (kulia).

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imechezesha droo ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mkwanjika na kuwapata...

 

9 years ago

Global Publishers

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani