Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yasajili mshambuliaji wa Mali

 Vinara wa Ligi Kuu Bara, Azam FC wameanza kujipanga tayari kwa msimu ujao baada ya kumsainisha mshambuliaji kutoka Mali, Ismailla Diarra mkataba wa miaka miwili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azam yasajili mkali mwingine

Klabu ya Azam FC imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu beki chipukizi wa kati, Abdallah Kheri Salum wa klabu ya Zimamoto ya Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yasajili mchezaji Ivory Coast

>Klabu ya Azam imepania inatwaa ubingwa wa Tanzania Bara baada ya kumnyakua mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Mamadou Kone kutoka klabu ya Stella Abidjan. Mshambuliaji huyo ametua nchini na amemwaga wino wa kuichezea klabu hiyo kwa muda wa mwaka mmoja.

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yasajili wanachama wapya

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Morogoro umewasajili wanachama 53 wa Muungano wa Vikundi vya Wajasiriamali wa Manispaa ya Morogoro (SILC).

 

11 years ago

GPL

Simba SC yasajili Warundi wawili

Mshambuliaji mwenye kasi, Amissi Cedric. Na Sweetbert Lukonge
KAZI ya usajili imeanza na Simba wanaonekana kuwa na kasi kubwa baada ya kuanza mazungumzo na wachezaji wawili wanaokipiga kwenye timu ya taifa ya Burundi na mambo yanakwenda vizuri.
Simba iko katika hatua za mwisho kuwatia mkononi Warundi wawili baada ya kuwaona wakifanya vema katika mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars iliyochezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tp Mazembe yasajili watatu wa IvoryCoast

Wachezaji watatu wa IvoryCoast wasajiliwa na Tp Mazembe

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yasajili beki wa Togo

YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.

 

11 years ago

GPL

Yanga yasajili kiungo usiku

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KLABU ya Yanga, jana usiku ilitarajiwa kumsainisha kiungo wa Taifa Stars, Said Juma.
Inadaiwa kuwa, aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ndiye aliyetoa mapendekezo ya kusajiliwa kwa kiungo huyo. Jana usiku, Yanga ilitarajiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili lakini kama ingeshindikana jana, basi anaweza akasajiliwa ndani ya siku mbili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh

Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima

issoufou-boubacar2Mshambuliaji, Issofou Boubacar.

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani