Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azinduka akiwa mochari siku ya pili

SERIKALI ya Kenya imeanza uchunguzi ili kubaini sababu ya mtu aliyethibitishwa kufa hospitalini, kuzinduka akiwa mochari siku iliyofuata.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mzee aliyeamka akiwa mochari India sasa afariki

Mwanamume aliyeamka kabla ya kufanyiwa upasuaji katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali moja nchini India sasa amefariki.

 

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli akiwa Ofisini Kwake Siku ya Kwanza

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifanyakazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni siku yake ya kwanza ofisini kwake tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano.(Picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA AKIWA KATIKA KUSAKA MKATE WA KILA SIKU

Kutafuta liziki ni kwa kila mtu ila tofauti ni kwa namna gani jamaa kama alivyokutwa na kamera yetu leo katika eneo la Kinondoni B jijini dar es salaam.Mjasiliamali akimuuzia mteja wake mara baada ya kuegesha gari lake pembeni kama alivyonaswa na kamera yetu leo katika eneo la kariakoo jijini Dar es Salaam leo. (PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII)

 

11 years ago

Habarileo

Manispaa wala hela ya mochari

Ofisi ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni HALMASHAURI ya Kinondoni imekumbwa na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha baada ya kubainika imedanganya kwamba ilitumia Sh milioni 20 kukarabati na kupanua mochari ya Hospitali ya Mwananyamala wakati siyo kweli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Siku ya pili:Hukumu ya Pistorius

Mashitaka katika kesi ya Oscar Pistorius yamechambua kazi za kujitolea za mwanariadha huyo, katika siku ya pili ya kusikilizwa.

 

9 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA AKIWA NA WAJUKUU

Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya sherehe za miaka 65 ya kuzaliwa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na miaka 55 ya kuzaliwa mdogo wake Yusufu Mrisho Kikwete jana jioni jijini Dar es salaam. Rais Kikwete na mdogo wake walisherehekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata na kula keki na wajukuu wao na wa jamaa, ndugu na marafiki waliowaalikwa kwenye sherehe hii fupi iliyojaa furaha na bashasha.Keki
Wajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye kekiMjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babuWajukuu...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti

Mbunge wa Mvomero Mh, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi kumuona Waziri Mkuu Mh, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.  Kutokana na hali hiyo, Mbunge huyo kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji cha Kugugu kuongea na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yaingia siku ya pili Burundi

Wanaharakati nchini Burundi wameendelea na maandamano wakipinga uteuzi wa Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu

 

10 years ago

BBCSwahili

Siku ya pili ya kongamano la FIFA imeaanza

Siku ya pili ya Kongamano la kila mwaka la FIFA imeanza huko Zurich Uswisi.Leo ndiyo siku ya Uchaguzi wa Urais

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani