Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa wala hela ya mochari

Ofisi ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni HALMASHAURI ya Kinondoni imekumbwa na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha baada ya kubainika imedanganya kwamba ilitumia Sh milioni 20 kukarabati na kupanua mochari ya Hospitali ya Mwananyamala wakati siyo kweli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala

Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.

 

11 years ago

Habarileo

Azinduka akiwa mochari siku ya pili

SERIKALI ya Kenya imeanza uchunguzi ili kubaini sababu ya mtu aliyethibitishwa kufa hospitalini, kuzinduka akiwa mochari siku iliyofuata.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge aomba wadau kujenga ‘mochari’ Chalinze

MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ridhiwani Kikwete, amewaomba wadau wa afya ndani na nje ya mkoa huo kujenga chumba cha kuhifadhia maiti kwenye vituo vya afya kwenye jimbo hilo, kwani hakuna kituo cha afya chenye huduma hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzee aliyeamka akiwa mochari India sasa afariki

Mwanamume aliyeamka kabla ya kufanyiwa upasuaji katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali moja nchini India sasa amefariki.

 

10 years ago

GPL

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Darassa Ft. Triple D — Hela

hela artworkWimbo mpya wa rapper Darassa amemshirikisha Triple D unaitwa “Hela”. Studio Masanjuo Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Wakazi – Kanuni za Hela

20160105234058

Another single from the Upcoming album (Kisimani) this one is dubbed ‘Kanuni Za Hela’ which in Swahili means “principles of money” both making it & keeping it.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

DIMPOZ, HEBU ACHA ULIMBUKENI WA HELA

Staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo 'Ommy Dimpoz'. UNAPOTAKA kutaja majina ya vijana chipukizi, ambao sasa wanaogelea katika bahari ya ustaa, basi huwezi kuliweka mbali jina la Ommy Dimpoz, mkali wa vibao vikali vya Baadaye na Tupogo. Hizi ngoma mbili zimekimbiza sana na nadhani ndizo zinazompa shoo nyingi, ndani na nje ya nchi, ingawa pia hivi karibuni aliingiza mtaani kazi yake nyingine inayokwenda kwa jina la Ndagushima.
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani