Baa la Nzige lawa chanzo cha kipato baada ya kufanya uharibifu wa mazao Pakistan
Baada ya baa la nzige kuharibu mazao wakulima wauza tani za nzige kwa wafugaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Wimbi la pili la nzige kufanya uharibifu Afrika mashariki
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Takataka zaweza kuwa chanzo cha kipato
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu
10 years ago
Michuzi19 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Ripoti: Kipato cha Mtanzania kinazidi kuimarika
10 years ago
StarTV05 Dec
Kipato cha wakulima, Serikali yapewa changamoto.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Serikali imeombwa kuangalia uwezekano wa kutopandisha kodi mwaka hadi mwaka kwa Kampuni zinazozalisha pombe ili kupunguza uagizaji wa malighafi za bidhaa hiyo kutoka nje ya Nchi na hivyo kuongeza kipato kwa wakulima wa ndani.
Kwa sasa wakulima wa ndani wa mazao yanayotumika kutengenezea bidhaa hiyo kama shayiri na mtama wameshindwa kunufaika na kampuni hizo kutokana na viwanda vya Bia nchini kununua mazao hayo kutoka nje ya nchi.
Licha ya Mtama na Ngano ama Shayiri...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barabara, kilimo vyainua kipato cha wakazi wa Singida
5 years ago
MichuziBALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA PAKISTAN
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akisalimiana na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara jijini Dodoma. Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ya kudumisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad...