Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE

BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE

Charles James, Michuzi TV

NI kama Ndoto! Wale wote waliokua wanatusimanga, wanatuponda na kutukejeli leo wametupost kwenye status za WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii wakitupongeza.

Kwenye Radio na Televisheni, Magazeti na Mitandaoni stori ni moja tu mjinii, Liverpool ndio Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England.

Subirio la miaka 30 limetimia, kiu yetu ya kubeba taji la England imekatika. Hakuna mwenye uthubutu wa kutukejeli tena "...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tupige kura, tupokee matokeo kwa amani na utulivu, kuna maisha baada ya uchaguzi

Keshokutwa, Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

5 years ago

Michuzi

Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30

SIKU muhimu sana pale Stamford Bridge! Hii ni mechi ambayo inaweza kutupa jibu la nani bingwa katika Ligi Kuu ya Uingereza. Bila shaka, Man City bado wanataka kuwakwamisha Liverpool, watahitaji kukamilisha kibarua hiki kigumu kwa kusepa na ushindi kutoka wapinzani wao wa London.
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji....

 

9 years ago

GPL

TUPIGE KURA, TUPOKEE MATOKEO KWA AMANI

JUMAPILI ya kesho, Oktoba 25, 2015, Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uchaguzi ni nini? Zipo tafsiri mbalimbali lakini mojawapo na iliyo wazi ni kwamba, ni njia ya kidemokrasia inayotumiwa na watu kuchagua viongozi wa kuwaongoza kwa kipindi fulani kwa mujibu wa Katiba au utaratibu waliojiwekea wenyewe. Huu ni Uchaguzi Mkuu wa Tano...

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21 !

Hii itakuwa ni Sherehe ya aina yake kufanyika katika Jiji la Wajanja Big Apple,Watu wote bila kujali Itikadi zao wanaalikwa kwani hii ni Birthday Bashhh na sio mkutano wa kisiasa,Njoo uburudike na watanzania wenzako kutoka states mbali mbali pamoja na Nje ya nchi,kutakuwepo na Burudani kutoka kwa wasanii maarufu kutoka Tanzania,Habari zaidi za Wasanii na Mgeni Rasmi kufuata.
                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu



                          
           ...

 

10 years ago

Michuzi

NEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21

Hii itakuwa ni Sherehe ya aina yake kufanyika katika Jiji la Wajanja Big Apple,Watu wote bila kujali Itikadi zao wanaalikwa kwani hii ni Birthday Bashhh na sio mkutano wa kisiasa,Njoo uburudike na watanzania wenzako kutoka states mbali mbali pamoja na Nje ya nchi,kutakuwqa na Burudani kutoka kwa wasanii maarufu kutoka Tanzania,Habari zaidi za Wasanii na Mgeni Rasmi kufuata. Tuungane Tuiline Tanzania Yetu

TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR...

 

9 years ago

Bongo5

AY akutana na mdogo wake kwa mara kwanza baada ya miaka 16

Rapper Ambwene Yessayah aka AY amekutana na mdogo wake wa kiume kwa mara ya kwanza baada ya miaka 16. AY ameiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM kuwa kuonana na mdogo wake huyo kunaenda sambamba na siku ambayo baba yake mzee Yessayah anatimiza miaka 12 toka afariki dunia. “Tulikuwa hatujawahi kuwasiliana na wala kuongea kwenye […]

 

10 years ago

Bongo5

Mwanamke ajioa mwenyewe baada ya kuchoka kuwa single kwa miaka 6!

Uvumilivu wa kusubiri mwanaume wa kuja kumpigia goti na kumuuliza ‘will you marry me?’, umemshinda mwanamke mmoja wa Uingereza, aliyeamua kuchukua uamuzi wa kujichumbia na kujioa mwenyewe! Grace Gelder ambaye ni ‘mme na mke’ alijichumbia November, 2013 na baadae kujioa March, 2014 na kuamua kufanya sherehe ya harusi yake iliyohudhuriwa na wageni 50. Na ule […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani